Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,798
- 57,310
Mwenyewe nimechagua upande wa Kumtumikia Kristo kama ulivyo wewe.Grahams unajua ni jina la mtumishi mkubwa Us.
Nawe watumikie warembo wetu mkuu tena kwa mahaba mazito.
Soma tena post uliyo ni quote kuna kipengele niliongezea
Kwa Umri huu wa Uzee unachagua upande sahihi, nami nimefanya hivyo.
Maandiko yanasema Ukizaliwa na Kristo, unakuwa Kiumbe kipya, tazama ya kale yanakuwa mapya......
Kuna matukio unajaribu kuyaandika ili watu wajifunze. Angalia namna Mtume Paulo alivyoifanya kazi hii ili wengi wajifunze kupitia yeye.



.