Siipendi hii tabia

Siipendi hii tabia

Mwanaume kama huyo futa namba hakufai kabisa.

Hajiamini, hana uwezo wa kuishi na wewe.pia hongera we ni mwanamke unayejielewa.

Next few wks nitakuja na series ya kuwafunda wanaume jinsi ya kuandaa mtoko wenye mafanikio kwa Mwanamke unayekutana naye kwa mara ya kwanza

Tutajadiliana vifungu vifuatavyo

1. Jinsi ya kupanga kukutana
2. Namna ya kujiandaa kukutana
3. Namna ya kuvaa siku hiyo( hakuna haja ya gharama za nguo)
4. Jinsi ya kutembea
5. Tabia na mienendo za kuwa nazo au ,a kuepuka unapokuwa n mwanamke kwa mara ya kwanza.

Ktk uzi wa Mwanadada huyu ametaja mambo mazito ambayo braza kakosea sana na imepelekea Mwanadada kumuona ni mtu wa hovyo na hafai kuwa Mwanaume wake.

Stay tuned.
vijana tuna mambo mengi ya ajabu
 
Hivi yule dr. wa Tabora vipi mkuu.

Ukweli ni kwamba mabinto wanataka wazee, wewe watumikie tu mkuu.

Tugawane majukumu...wewe watumikie....wengine tumtumikie Kristo😂😂😂
Hahahaha............umenikumbusha mbali Mkuu na hiyo stori, maana ni tukio la mwaka 47 iliyopita. Sasa tumezeeka 🤗
 
Inaonekana hilo jambo limekupa hadi Stress kufanya ukose na Usingizi, maana hadi kuandika mada hii saa 12:44 AM sio mchezo.

Wakati mwingine, Mwanaume anaweza kukupima kama u-mchoyo kwa vitu kama hivyo.

Kama yeye aliyegharamia kununua hicho chakula unataka kumnyima, Vipi ikitokea amekuoa.

Ndugu zake kweli unaweza kuwaandalia chakula, ama utaishia kuwafukuza?

Kama unaanza Uchoyo mkiwa kwenye hatua za awali hivi, mkiingia kwenye ndoa si hautataka utembelewe hata na ndugu mmoja wa upande wa Mume?
Hii sasa ndiyo hoja ya msingi
 
Mwanaume kama huyo futa namba hakufai kabisa.

Hajiamini, hana uwezo wa kuishi na wewe.pia hongera we ni mwanamke unayejielewa.

Next few wks nitakuja na series ya kuwafunda wanaume jinsi ya kuandaa mtoko wenye mafanikio kwa Mwanamke unayekutana naye kwa mara ya kwanza

Tutajadiliana vifungu vifuatavyo

1. Jinsi ya kupanga kukutana
2. Namna ya kujiandaa kukutana
3. Namna ya kuvaa siku hiyo( hakuna haja ya gharama za nguo)
4. Jinsi ya kutembea
5. Tabia na mienendo za kuwa nazo au ,a kuepuka unapokuwa n mwanamke kwa mara ya kwanza.

Ktk uzi wa Mwanadada huyu ametaja mambo mazito ambayo braza kakosea sana na imepelekea Mwanadada kumuona ni mtu wa hovyo na hafai kuwa Mwanaume wake.

Stay tuned.
Mwanaume unamfunda nini zaidi ya kuwa na pesa tu?
 
Hahahaha............umenikumbusha mbali Mkuu na hiyo stori, maana ni tukio la mwaka 47 iliyopita. Sasa tumezeeka 🤗
Grahams unajua ni jina la mtumishi mkubwa Us.
Nawe watumikie warembo wetu mkuu tena kwa mahaba mazito.

Soma tena post uliyo ni quote kuna kipengele niliongezea
 
Mmeona jamani jinsi BIDHAA inavyouzwa kwa Ghali?

Hapa MUUZAJI wa BIDHAA amekasirika amekutana na MNUNUAJI ambae anauchungu na Pesa yake.

Ila Muuzaji wa BIDHAA hana CUSTOMER care nzuri alipaswa aitunze hiyo number just incase next time aweze KUVUNA/KUPUNUSA fedha za Mteja.
Ipi
 
Yani mwanaume anaku ask for a date halafu yeye mwenyewe anakwambia chagua any place you want unachagua anakupeleka then anakwambia order anything you want una order zako your food and wine then yeye Ana order maji tu.

Ukimuuliza Kwann anajifanya nimeshiba halafu ukimkaribisha icho chakula anajifanya Ngoja nionje tu mwisho wa siku mnaenda pasu kwa pasu.

Yaani kaniudhi nilivoona anakula sana nikajifanya Mimi nipo kwenye diet nimeshiba, bila aibu kamaliza chote wakati before alisema ameshiba.

Jamani wanaume kujitutumua kwingine hakufai khaaaaaa .

Mtu si bora uwe mkweli tu mimi I can’t afford izo places ntakuelewa kuliko Hii embarrassment.

Nimefuta his number sitaki tena kumuona wala kuwasiliana naye.
Ningekuona wa maana kama bill ilivyoletwa ungetowa pochi na kulipa wewe.

Kuna wanaume maboya sana, yani mnaacha kwenda kula mdudu kilo mbili ndizi 6 sita, moja rost moja kachumbari, mwanamke anashushia dompo mubaba unashushi KVeve na Serengeti tano mkitoka hapo mnaingia lodge ya sh 40,000/= yani hiyo shangwe yake utasema Yesu anaingia Yerusalemu Osana Osana.

Huwa mnawazuzuwa na nini hasa? Makeup au tako?
 
Yani mwanaume anaku ask for a date halafu yeye mwenyewe anakwambia chagua any place you want unachagua anakupeleka then anakwambia order anything you want una order zako your food and wine then yeye Ana order maji tu.

Ukimuuliza Kwann anajifanya nimeshiba halafu ukimkaribisha icho chakula anajifanya Ngoja nionje tu mwisho wa siku mnaenda pasu kwa pasu.

Yaani kaniudhi nilivoona anakula sana nikajifanya Mimi nipo kwenye diet nimeshiba, bila aibu kamaliza chote wakati before alisema ameshiba.

Jamani wanaume kujitutumua kwingine hakufai khaaaaaa .

Mtu si bora uwe mkweli tu mimi I can’t afford izo places ntakuelewa kuliko Hii embarrassment.

Nimefuta his number sitaki tena kumuona wala kuwasiliana naye.
Umefita namba ya mtu wakati chakula chake ulikula
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom