Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 20,325
- 62,203
Huyu ye anawaza misosi tu, kilichomuuma hakushiba.Tena kubwa mjipangee 😛
Huyu ye anawaza misosi tu, kilichomuuma hakushiba.Tena kubwa mjipangee 😛
ni msemo tu mwanetu😂Yesu gani, wa Tongareni au ?
We si mtoto wa Kiranga wewe.
Kwa kweli Mkuu, Mwanamke wa hivyo hafai maana Watanzania tunajijua kwa ukarimu wa kupokea Wageni.Man kuna wanawake niwachoyo sasa imagine unaenda kuishi nae,ataweza ishi na ndugu zako,watoto kama hali ya uchoyo ipo hivi...
Sasa si kaambiwa achague jamani 😀Nawe ulikuwa mlaku sana, ulichagua sehemu ya gali na vya ghali eboo.
Kwani babako aliwahi kumpeleka ma mkwe pale?
🤣🤣🤣
Ndio burazaYeap upo sawa, ukiona nyani mzee ujue amekwepa mishale mingi,
Daah kumbe tunafanana kidogo, mimi binafsi ninapomtoa binti out huwa sina mategemeo makubwa hakuna kabisa, napenda kitu kizaliwe automatic, sipendi kutumia nguvu ya pesa au out kama kigezo cha kumpata.Ni kama unasaidia tu kutatua shida yake...then unaendelea na biashara nyingine ni jambo zuri maokoto yapo tu kila siku utapata tu nyingi mzee,in the end unakua umeshamsoma tabia yake
Deep down mioyo inasema huu ni utapeli🤣🤣🤣Kwa kweli Mkuu 😅
Daah kumbe tunafanana kidogo, mimi binafsi ninapomtoa binti out huwa sina mategemeo makubwa hakuna kabisa, napenda kitu kizaliwe automatic, sipendi kutumia nguvu ya pesa au out kama kigezo cha kumpata.
Tunaweza kutoka hata mara 2 na nisimwambie chochote zaidi ya stori.
Ikiwa amegusa moyo sana kinachofuata namsoma yeye naye kama kuna kitu kimeumbika juu yangu...hapo....
Kuweni na imani na Wazee 🤗Deep down mioyo inasema huu ni utapeli🤣🤣🤣


noma sana.Hivi huyu ndo yuleyule uliekawahi kusema kwamba unahitaji ushauri wa jinsi ya kumwambia haumtaki ??Yani mwanaume anaku ask for a date halafu yeye mwenyewe anakwambia chagua any place you want unachagua anakupeleka then anakwambia order anything you want una order zako your food and wine then yeye Ana order maji tu.
Ukimuuliza Kwann anajifanya nimeshiba halafu ukimkaribisha icho chakula anajifanya Ngoja nionje tu mwisho wa siku mnaenda pasu kwa pasu.
Yaani kaniudhi nilivoona anakula sana nikajifanya Mimi nipo kwenye diet nimeshiba, bila aibu kamaliza chote wakati before alisema ameshiba.
Jamani wanaume kujitutumua kwingine hakufai khaaaaaa.
Mtu si bora uwe mkweli tu mimi I can’t afford izo places ntakuelewa kuliko Hii embarrassment.
Nimefuta his number sitaki tena kumuona wala kuwasiliana naye.
Madem wengine km zombii.... Mim nlkuwa sna gari naish kwa kurekwesti bolt.... Niliwaambia skup Zaid ya 30k..... Huez sepaa ela yangu Bora ninywee Pombee iisheeHivi huwa wanawachukulia vipi au huwa mnavimba sana mpo BOT?
Mimi kipindi nafanya hizo mambo Oystebay nilikuwa namaliza mambo yangu ndani ya gari, unapaki sehemu unamaliza unamlipa mtu ujira wake unamrudisha maeneo unamshusha unasepa, sasa leo mnapangiwa na hotel kabisa? Makubwa haya.
nakuuliza tena...Chibonge wa migombani karibu na ziwa kuu hajambo?🤣🤣🤣🤣🤣Kuweni na imani na Wazee 🤗