The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,149
- 2,536
nawale wanaotoa mimba za kila siku kisa hawajafunga ndoa ndio mnaowafagilia?
Hala fu siku wakifunga ndoa mnaenda kuselebuka na kuwapongeza. Pelekeni huko!
sasa ulikuja kuomba ushauri wa nini tayari we ni Mama HAPENDEKI kumbe hata mkiitwa magubegube ni sawa we unaogopa kuingia kwenye ndoa kisa rafikiyo kaachika!