Statesmann
JF-Expert Member
- Jul 16, 2019
- 2,344
- 3,460
Revolution Square ilizikwa 2011
Namkumbuka sana Alphonce Lusako, Alshabab
Namkumbuka sana Alphonce Lusako, Alshabab
Well said mkuu, ingawa kuna situation zinafikia hadi watu wanakosa namna kabisa ya kufanya,Sijawahi kuona mwanafunzi anayejifanya nunda chuoni akifanikiwa!
Mkuu nakubaliana nawe. Lakini kwa experience yangu, vijana wengi maisha yao ya chuo yamekuwa magumu kwa kujifanya manunda. Unawakumbuka wale ambao Mzee Mwinyi alidai walimtukana matusi ya nguoni? Kiongozi wao Matiku Matare mpaka leo hii is a failure!Well said mkuu, ingawa kuna situation zinafikia hadi watu wanakosa namna kabisa ya kufanya,
Kipindi hicho tulitafuta thamani ya X then tukaitumia thamani ya X kutafuta Y. Kweli siku hizi udsm imekwisha.Revolution Square ilizikwa 2011
Namkumbuka sana Alphonce Lusako, Alshabab
Dah kuna siku tulisimama Revo square mvua inanyesha tunasikiliza nondo tu watu wanatema cheche balaaKipindi hicho tulitafuta thamani ya X then tukaitumia thamani ya X kutafuta Y. Kweli siku hizi udsm imekwisha.
Hafanikiwi ili,wewe yule na wengineo wafanikiwe.Jifunze kushukuru kwa wale wanaojitoa ufahamu ili wewe uweze kufanikiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi rev. Square bado ipo au iliiondoka na mzee incognito?
Wanyime wanao (kama unao), mumeo au mkeo (kama unaye) chakula au haki yake kwa miezi miwili bila sababu za msingi halafu usubiri kujibiwa kwa adabuMkuu, taarifa ya Waziri Ndalichako iko humu humu JF. Hapo, tatizo ni mimi au wewe? Mmempotosha dogo mpaka akaondolewa chuoni. Na ninavyojua, hatapata msaada wowote kutoka kwenu zaidi ya serikali yenyewe kumhurumia na kumrudisha chuoni.
Wanawaumizaje wazazi ambao wameshindwa kumlipia gharama za chuo hadi wanasubiri body iwape? hebu acha kutisha wanafunziVijana mkifika vyuoni msifuate mkumbo
Mnawaumiza wazazi wenu
Bodies - BoardsKwani hapo wanadai hali gani? Ili upate mkopo umeambiwa lazima ukidhi vigezo. Hujakidhi. Ukakata rufaa. Ukaahindwa. Unatetea haki gani hapo?
Maoni yangu; badala ya hao vijana kulilia mikopo kwa hoja dhaifu, waombe sheria ya utoaji mikopo ibadilishwe. Kwamba, badala ya kuwa na Bodies ya Mikopo, Admission Letter ya chuo anayopata mwanachuo ndio iwe sifa kuu ya kupata mkopo. Na mikopo itolewe na benki ambazo zitaingia mkataba na serikali ambayo ndio itakuwa mdhamini mkuu kwa kazi hiyo. Kwahiyo, mwanachuo anabeba barua yake anaenda ku bargain na afisa wa benki anataka kiasi gani kwa kila mwaka wake wa masomo. Halafu liwe jukumu la hizo benki kufuatilia marejesho. Hapo kutakuwa hakuna maandamano wala nini!