Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 11,657
- 8,592
Mimi sio mtaalamu wa vitisho vya mtandaoni. MnavyoandikaGA kwa kujiamini mtandaoni mngekuwa ndivyo mnavyofanya mtaani, basi nchi hii ingefika mbali. Ngoja nikuulize, mbona huyo "Rais" kafukuzwa kama mbwa koko. Hao wanachuo aliokuwa anawatetea wako wapi? Si ajabu na wewe ni mwanachuo hapo Mlimani na umeufyata hasira na misimamo unamalizia mtandaoni! Pumbavu!!!!Wanyime wanao (kama unao), mumeo au mkeo (kama unaye) chakula au haki yake kwa miezi miwili bila sababu za msingi halafu usubiri kujibiwa kwa adabu
Kinachofanyika ni ubabe tu! Na huu ubabe unaendekezwa na watu kama nyie.
Uoga ni dhambi na dhambi huleta mauti!
Sent using Jamii Forums mobile app