Mimi ni mwanamke mwenye ndevu mama yangu anazo bibi yangu mzaa mama anazo dada yangu anazo na wote hao wanaishi maisha yakawaida sana tu na wote wanaishi na waume zao hakuna aliekufa
Wala kuachwa kwa swala la utamu hapo cjui maana kila mtu ana siri yake ila mm kila mwanaume niliewahi kuwa nae huwa ananicfia kua ni myam na watofaut kuliko alikwahi kuwapitia ila nina maisha ya mawaida tu na bado cjaamua kuolewa pia hakuna mwenye maisha magum kiivo niyakawaida sana msituogope wala kutuona sisi ni watofaut