baba sharubu, mama sharubu na mtoto sharubu. hiyo itakuwa familia ya kambale.
imani kuwa wana bahati hasa financially...
but ndevu original
sio za mkorogo lol
Wanawake wenye ndevu kwa ushahidi nilio nao ni WATAMU SANA PINDI UNAPOKUWA UNAWALA KIBOGA.
nasakia hata wanaopenda kulia ovyo
naweza kupewa nafasi na mimi nijionee huo utamu kivitendo?Mimi ni mwanamke mwenye ndevu mama yangu anazo bibi yangu mzaa mama anazo dada yangu anazo na wote hao wanaishi maisha yakawaida sana tu na wote wanaishi na waume zao hakuna aliekufa
Wala kuachwa kwa swala la utamu hapo cjui maana kila mtu ana siri yake ila mm kila mwanaume niliewahi kuwa nae huwa ananicfia kua ni myam na watofaut kuliko alikwahi kuwapitia ila nina maisha ya mawaida tu na bado cjaamua kuolewa pia hakuna mwenye maisha magum kiivo niyakawaida sana msituogope wala kutuona sisi ni watofaut