Vaislay
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 4,532
- 1,822
habari zenu wanaJf.....
Leo katika pita pita zangu tukakutana na jamaa ambae hatumfaham kabisa alimwangalia shost af akaanza kama utani vile,..dada nimependa hizo ndevu zako!..nikatie basi hata kamoja. Tukachukulia kama utani, heee kumbe jamaa alimaanisha akaanza kamganda shosti angu akimdai amkatie kandevu hata kamoja,....wengine wa pembeni walicheka na wengine wakitoa tafsir mbalimbali za mwanamke mwenye ndevu..
Naomba niwaulize wanajf nini sifa na tafsiri kamili kwa wanawake wenye ndevu?:confused2::confused2:
Leo katika pita pita zangu tukakutana na jamaa ambae hatumfaham kabisa alimwangalia shost af akaanza kama utani vile,..dada nimependa hizo ndevu zako!..nikatie basi hata kamoja. Tukachukulia kama utani, heee kumbe jamaa alimaanisha akaanza kamganda shosti angu akimdai amkatie kandevu hata kamoja,....wengine wa pembeni walicheka na wengine wakitoa tafsir mbalimbali za mwanamke mwenye ndevu..
Naomba niwaulize wanajf nini sifa na tafsiri kamili kwa wanawake wenye ndevu?:confused2::confused2: