CORAL
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 2,827
- 1,858
watamu haoooo!
Nasikia hata wenye manyoya kifuani!
watamu haoooo!
To be honest, wengi wenye ndevu original, sio zile zinazotokana na mkorogo, huwa wanakuwa na kingekewa sana cha hela, wote wa design hiyo ninao wafahamu wana hali nzuri sana ya kipato na wengi wao huwa wazuri na watamu sana kitandani. Kimsingi wanafanana sana na wale wanaoanza kupata mvi ujanani, wanawake wanaoota mvi ujanani na wengi mpaka sehemu zao za siri, huwa wanahela sana na ni watamu sana kitandani.
To be honest, wengi wenye ndevu original, sio zile zinazotokana na mkorogo, huwa wanakuwa na kingekewa sana cha hela, wote wa design hiyo ninao wafahamu wana hali nzuri sana ya kipato na wengi wao huwa wazuri na watamu sana kitandani. Kimsingi wanafanana sana na wale wanaoanza kupata mvi ujanani, wanawake wanaoota mvi ujanani na wengi mpaka sehemu zao za siri, huwa wanahela sana na ni watamu sana kitandani.
The Boss Mbona zangu ni original lakini Financially kila siku niko Saccos aaaaaaaaaaaaaaghimani kuwa wana bahati hasa financially...
but ndevu original
sio za mkorogo lol
nasikia hata wenye manyoya kifuani!
......jaribu utakuja kuniambia siku hiyo tutakapo kuzika.
sio kweli hata kidogo.ni uzushi mkubwa huu, nina ushahidi wa kutosha kwamba wanawake wenye ndevu ndoa zao hazidumu tena hata kama mwanaume atajitahidi kuvumilia na kwa subira, ya kuishi na mwanamke mwenye ndevu bado matatizo ni mengi sana. Wewe chunguza mtaaoi kwako ama kijijini kwenu, je? Ni mwanamke yupi mwenye ndevu na bado anaishi na mumewe? Nijuavyo mimi mwanaume akimuoa mwanamke mwenye ndevu maisha ya huyo mwanaume huwa mafupi sana. Wanawake wengi wenye ndevu ni wajane wamefiwa na waume zao mapema. Kama huku kenya wanawake wenye ndevu ni wengi sana lakini waume zao walikufa baada yakuzaa nao watoto kama si mmoja ni wawili tuu. Je? Hakuna cha utamu wala utajiri ni kudanganyana tuu.mwanamke mwenye ndevu ni kifo cha mwanaume jaribu utakuja kuniambia siku hiyo tutakapo kuzika.
Wanawake wenye ndevu kwa ushahidi nilio nao ni WATAMU SANA PINDI UNAPOKUWA UNAWALA KIBOGA.