Kwa kushinda tuu home sio mbaya madame wa mrMimi sina sifa tajwa hata moja... na nikishinda home ni Madera kwenda mbele. Na nimeolewa na watoto juu ...
Hebu tupishe na research yako ya kwa mtogole.
Wanachomekea kwenye vyupi...halafu wanajitingisha kama wapo kwenye tetemeko.Nani kakuambia dera ni vazi la wanawake wasiojiheshimu?
No this is going to far.Unapomnyoshea mwenzio kidole,ni vidole vingapi vinakuelekea wewe?Sio busara kuhukumu wengine,wakati na sisi tuna yetu.Nilichokiona ni chuki binafsi mbona wale wauza papuchi maarufu vibandani hawavai madera lakini wanaongoza kwa ufirauni hadi wanapelekewa matetemeko
Nunua tu mkuu unaweza ukawa one in a million.Nilikuwa na mpango wa kununua moja, lakini baada ya uzi huu nimeghairi.
Kweli huyu mleta maada sijui katokea wapi? Kutwa nzima umeshinda umejibana kwa mavazi ya kiofisi, kanisani harafu ufike nyumbani bado uendelee na nguo zakujibana heeee!!! Hapa dera kwa raha zetu litahusika maana unauachia mwili upumue kwa raha tena kama anakerwa anywe sumu asiwaone wavaa maderaMimi sina sifa tajwa hata moja... na nikishinda home ni Madera kwenda mbele. Na nimeolewa na watoto juu ...
Hebu tupishe na research yako ya kwa mtogole.
Hahahahaa pole mwaya!Nilikuwa na mpango wa kununua moja, lakini baada ya uzi huu nimeghairi.