Sifa za wanavyuo

Sifa za wanavyuo

IFM hakuna hata sifa moja ulioitaja hapo .... afu charming lady nakutafuta toka asubuhi ulikua wapi?

weee umesahau,labda co IFM nlosoma mie,haya umenipata mamie nambie ney kush
 
Last edited by a moderator:
SUA ndo nini eti? unaumwa wewe kapime... Ikiwa umekula product yoyote itokanayo na mifugo, kilimo, misitu basi ujue SUA wanahusika kwa namna moja au nyingine. either kuongeza dhamani yake au quality assuarence

hahaa kumbe umesoma sua bana,hv c we ndo ulikuwa unachukua degree ya bee keeping au nimekufananisha?
 
Thank God nilikwenda kusoma chuo kikuu enzi hizo nchi ina university moja tu UDSM with Mwalimu Nyerere (RIP) as chancellor.
Wakati huo SUA na muhimbili zilikuwa ni campus tu,mzumbe na ifm vilikuwa ni vyuo tu vya kutoa diploma.
Sasa huu utitiri wa vyuo tutapata kweli quality graduates au ni quantity tu?

Bishanga no.17 inakuhusu sana!
 
Last edited by a moderator:
Mbona hao mafundi hapo juu umewapa sifa ndogo,hebu ongeza nyingine au unawaogopa? charminglady
 
Last edited by a moderator:
Mbona hao mafundi hapo juu umewapa sifa ndogo,hebu ongeza nyingine au unawaogopa? charminglady
 
Last edited by a moderator:
Mbona hao mafundi hapo juu umewapa sifa ndogo,hebu ongeza nyingine au unawaogopa? charminglady
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom