Sifa za wanafunzi kulingana na vyuo

Sifa za wanafunzi kulingana na vyuo

¤Sua, Muhas, Kcmc- Makini na Wajanja
Mzumbe- Matajiri na wenye Akili
¤Udsm- Watu wenye sifa mchanganyiko na jamii inawakubali
¤Cbe-dar- Malaya na wasiojiweza kiakili
¤Tumaini, Ardhi- Upeo mdogo wa kufikiri na watoto wa Mama
¤Ruco- Wajinga kwa waliokosa vyuo kabisa
¤Udom- Waliokosa nafasi Udzm na wanaipenda ingawa wanaipondea
¤Sauti,Ustawi, Mwl Nyerere, Muccobs, Cbe-dom- Wasiojua Future Zao
¤Iaa- Wenye uwezo ila walifeli form six
¤Mipango, Zanzibar, St.john, Moro Muslim- Wasiofahamu umuhimu wa elemu, hapa vilaza wamejaa kaa Nyota
¤Lpcuco- Majigambo kibao hamna cha maana kazi kujipraudi tu
¤Ifm- Kwa mademu wa ukweli

Ingekuwa ukisoma chuo fulani unakuwa na guarantee ya kuishi maisha mazuri,ningeona deal.Sasa ukimaliza udsm,saut na CBE wote tunazunguka na bahasha za kaki kwa almost 2 years.Nini sasa cha maana hapo?
 
¤Sua, Muhas, Kcmc- Makini na Wajanja
Mzumbe- Matajiri na wenye Akili
¤Udsm- Watu wenye sifa mchanganyiko na jamii inawakubali
¤Cbe-dar- Malaya na wasiojiweza kiakili
¤Tumaini, Ardhi- Upeo mdogo wa kufikiri na watoto wa Mama
¤Ruco- Wajinga kwa waliokosa vyuo kabisa
¤Udom- Waliokosa nafasi Udzm na wanaipenda ingawa wanaipondea
¤Sauti,Ustawi, Mwl Nyerere, Muccobs, Cbe-dom- Wasiojua Future Zao
¤Iaa- Wenye uwezo ila walifeli form six
¤Mipango, Zanzibar, St.john, Moro Muslim- Wasiofahamu umuhimu wa elemu, hapa vilaza wamejaa kaa Nyota
¤Lpcuco- Majigambo kibao hamna cha maana kazi kujipraudi tu
¤Ifm- Kwa mademu wa ukweli
mzumbe wanatisha, the ril gentlemen
 
hii forum siku izi imeingiliwa........yaani imejaa ***** mambo ya facebook zao wanaleta apa......forum imekaa kibongofleva.....mtu unaenda internet cafe(maana huna modem wala computer) badala ya kuutumia muda wako vizuri unakaa kupost ushabiki mandazi......
kweli lakini ila ni upuuzi tu.
 
Mtoa mada ni great thinker 7bu kila utan unaukweli ndani yake, japo mi nimechaguliwa cbe dar! Ila inauma!!!
 
¤Sua, Muhas, Kcmc- Makini na Wajanja
Mzumbe- Matajiri na wenye Akili
¤Udsm- Watu wenye sifa mchanganyiko na jamii inawakubali
¤Cbe-dar- Malaya na wasiojiweza kiakili
¤Tumaini, Ardhi- Upeo mdogo wa kufikiri na watoto wa Mama
¤Ruco- Wajinga kwa waliokosa vyuo kabisa
¤Udom- Waliokosa nafasi Udzm na wanaipenda ingawa wanaipondea
¤Sauti,Ustawi, Mwl Nyerere, Muccobs, Cbe-dom- Wasiojua Future Zao
¤Iaa- Wenye uwezo ila walifeli form six
¤Mipango, Zanzibar, St.john, Moro Muslim- Wasiofahamu umuhimu wa elemu, hapa vilaza wamejaa kaa Nyota
¤Lpcuco- Majigambo kibao hamna cha maana kazi kujipraudi tu
¤Ifm- Kwa mademu wa ukweli
umefanyia hii research kwenye gahawa eee
 
¤Sua, Muhas, Kcmc- Makini na Wajanja
Mzumbe- Matajiri na wenye Akili
¤Udsm- Watu wenye sifa mchanganyiko na jamii inawakubali
¤Cbe-dar- Malaya na wasiojiweza kiakili
¤Tumaini, Ardhi- Upeo mdogo wa kufikiri na watoto wa Mama
¤Ruco- Wajinga kwa waliokosa vyuo kabisa
¤Udom- Waliokosa nafasi Udzm na wanaipenda ingawa wanaipondea
¤Sauti,Ustawi, Mwl Nyerere, Muccobs, Cbe-dom- Wasiojua Future Zao
¤Iaa- Wenye uwezo ila walifeli form six
¤Mipango, Zanzibar, St.john, Moro Muslim- Wasiofahamu umuhimu wa elemu, hapa vilaza wamejaa kaa Nyota
¤Lpcuco- Majigambo kibao hamna cha maana kazi kujipraudi tu
¤Ifm- Kwa mademu wa ukweli

Sishangai kuona kuna watu wana mawazo kama haya kwasababu wengi tangu kuzaliwa kwao hawajawahi toka nje ya bongo.Yaani hawana exposure.

Katika maswala ya ubora wa vyuo eti na sisi wabongo tunajiona tuna vyuo vya kuringia wabongo wenzetu

Mtu makini utasema hivi vyuo tunavyoringa navyo ni kama tu

MWENYE CHONGO KATIKA JAMII YA VIPOFU.

Kazi kuzalisha mafisadi na wanasheria kama wereeema na wengine wengi wenye degree za kukariri.
 
HAHAHAHAH ni mawazo tu mkuu..ndo maana nkasema sitii neno!!!
ni kwanini una tabia ile yakukashfu vyuo still ua educated enough to know watu wanapata elimu na inawasaidia na uhuni au umalaya au tabia mbaya yoyote its so personal issue sio nzuri ile tabia je ukitakja wote warundikane udsm is it right
 
Ingekuwa ukisoma chuo fulani unakuwa na guarantee ya kuishi maisha mazuri,ningeona deal.Sasa ukimaliza udsm,saut na CBE wote tunazunguka na bahasha za kaki kwa almost 2 years.Nini sasa cha maana hapo?

Ahsante mkuu uko sahihi na nashangazwa sana kuitaja zanzibar. Hivi jamani kuna chuo kinaitwa zanzibar? Mtoa mada unavuta bangi chooni then unakuja kwenye jamvi kunanga vyuo. Pumbaf zako huna kazi kanywe kahawa
 
ni kwanini una tabia ile yakukashfu vyuo still ua educated enough to know watu wanapata elimu na inawasaidia na uhuni au umalaya au tabia mbaya yoyote its so personal issue sio nzuri ile tabia je ukitakja wote warundikane udsm is it right
mkuu hapo kwenye red hapo.... kwa kweli sina na wala sintakuwa nayo tabia ya kudharau chuo au vyuo..tafaadhal naomba unielewe...una mwawazo na mafunzo mazuri ila naiman umetoa kwa mtu ambaye sio,binafsi nakuunga mkuon..ila lazima uelewe nlichose(...SITII NENO) sina imani sana kama kwa maneno hayo nlikashfu chuo au mwanachuo yeyote!!!..ILA MIMI NI BINADAM EITHER KWA KUJUA AU KUTOJUA NAWEZA MUUDHI MTU AU WATU..NAOMBA UNISAMEHE KAMA NIMEKUUDHI NA SIKUDHAMIRIA KUFANYA HICHO ULICHONIWAZIA...
 
Ahsante mkuu uko sahihi na nashangazwa sana kuitaja zanzibar. Hivi jamani kuna chuo kinaitwa zanzibar? Mtoa mada unavuta bangi chooni then unakuja kwenye jamvi kunanga vyuo. Pumbaf zako huna kazi kanywe kahawa

Siku nikiwa HR nitahakikisha nawaajiri watu waliosoma vyuo vingine na sio udsm ili kuhakikisaha hii ideology inakufa.Wote wapo chini ya TCU sasa huyu zaidi na huyu sio yanatoka wapi?Ingekuwa CBE,saut na tumaini + IFM wanafundishwa kuendesha baiskeli halafu wanapewa degree ya /Adv.Diploma ya Accounts/IT hapo tungekubali!
 
Vipi kuhusu DIT, Mbeya, Arusha na vingine vilivyosahaulika kwenye list?
 
Back
Top Bottom