Sifa za wamisionari wa kinigeria walio hai waliofungua makanisa Yao Dunia nzima

Shotocan

JF-Expert Member
Nov 21, 2023
2,218
4,634
Makanisa mengi yalioyoanzishwa na waafrika na kusambaa mataifa mengi duniani ni ya Wanigeria

Wanigeria hao ambao hawakupitia mfumo wa kawaida wa Elimu ya dini na vyeti vya kidini lakini uwezo wao wa kujua dini na umisionari ni mkubwa mno wako na makanisa Yao yako mabara yote ya Dunia ukienda utakuta makanisa Yao

Watu hao ni

1.Pastor Professor Enoch Adeboye wa kanisa la Redeemed Christian Church of God huyo alikuwa Profesa wa Hisabati wa Chuo kikuu Cha Lagos kabla kuacha na kufungua kanisa lenye matawi kote duniani

Ana bachelor degree ya Hisabati kutoka chuo kikuu Cha Lagos,Masters degree in Hydrodynamics kutoka chuo kikuu Cha lagos na PhD in Applied Mathematics kutoka chuo kikuu Cha Lagos


2.Proffessor Daniel Kolawole Olukoya wa kanisa la Mountain of Fire and Miracles Ministry

Huyu ana. Bachelor degree in Microbiology kutoka University of Lagos,Masters degree na PhD in Molecular Genetics kutoka chuo kikuu Cha Reading

Akiwa Professor alianzisha Hilo kanisa na Lina matawi Dunia nzima

3.William Folorindo Kumuyi wa kanisa la Deeper Life Christian Ministry huyu alikuwa Lecturer wa mathematics chuo kikuu Cha Lagos ana bachelor degree in Mathematics kutoka chuo kikuu Cha Ibadan na Masters na PhD degrees kutoka chuo kikuu Cha Lagos Nigeria .

4.Pastror Chris Oyakhilome wa Kanisa la wa kanisa la Christ Embassy huyu ana degree mbili bachelor na Masters in Architecture na kifani Ni Architecture

Ana makanisa Dunia nzima

5.David Oyedepo
Huyu baba yake alikuwa muislamu na mama yake Mkristo

Huyu alisomea mambo ya Architecture na ni Architecture by profession na ana PhD in Human Development kutoka chuo kikuu Cha Hawaii

Alfanya kazi serikalini akafungua kanisa la Winners Chapel ambalo Hadi Leo Lina matawi kote duniani

Hawa wote Wana makanisa mabara yote na nchi nyingi ya watu wa rangi zote na lugha tofauti pia na Tanzania yapo


Hivyo tukiongelea wamisionari pia tusisahau Hawa wamisionari waafrika wenzetu ambao hata ukienda ulaya au Asia,au marekani au Asia au Australia kote utakuta makanisa yao
 
Matapeli wa Kalamu

Ogopa sana, hao India hawatakiwi kabisa hata kuonekana.
 
Matapeli wa Kalamu

Ogopa sana, hao India hawatakiwi kabisa hata kuonekana.
Sema baadhi makanisa makubwa yote matapeli huwepo hata mbinguni Kwa Mungu mwenyewe kulikuweko matapeli shetani na Malaika zake kuweko matapeli wale hakufanyi Mungu asiwe wa kweli na Malaika wengine kuweko wakweli


Yesu mwenyewe duniani kwenye huduma yake alikuweko Mtume mmoja tapeli la kutupwa Yuda Iskariote
Kwenye Imani hakuna Cha samaki.moja akioza wote wameoza Ingekuwa hivyo mapadre na maaskofu waliohukumiwa makosa ya ubakaji nk kanisa katoliki kanisa lingefutwa kuwa la matapeli au Kwa mashehe watuhumiwa ulawiti na ugaidi na kuhukumiwa uislamu ungefutwa


Kwenye dini Kila samaki anabeba zigo lake hakuna Cha samaki mmoja akioza wote wameoza

Hata kiyama Kila mtu atahukumiwa kibinafsi sio ki group la dini iwe ya kweli au uongo Kila mtu kivyake peke yake
 
Makanisa mengi yalioyoanzishwa na waafrika na kusambaa mataifa mengi duniani ni ya Wanigeria

Wanigeria hao ambao hawakupitia mfumo wa kawaida wa Elimu ya dini na vyeti vya kidini lakini uwezo wao wa kujua dini na umisionari ni mkubwa mno wako na makanisa Yao yako mabara yote ya Dunia ukienda utakuta makanisa Yao

Watu hao ni

1.Pastor Dr Enoch Adeboye wa kanisa la Redeemed Christian Church of God huyo alikuwa Profesa wa Hisabati wa Chuo kikuu Cha Lagos kabla kuacha na kufungua kanisa lenye matawi kote duniani

Ana bachelor degree ya Hisabati kutoka chuo kikuu Cha Lagos,Masters degree in Hydrodynamics kutoka chuo kikuu Cha lagos na PhD in Applied Mathematics kutoka chuo kikuu Cha Lagos


2.Proffessor Daniel Kolawole Olukoya wa kanisa la Mountain of Fire and Miracles Ministry

Huyu ana. Bachelor degree in Microbiology kutoka University of Lagos,Masters degree na PhD in Molecular Genetics kutoka chuo kikuu Cha Reading

Akiwa Professor alianzisha Hilo kanisa na Lina matawi Dunia nzima

3.William Folorindo Kumuyi wa kanisa la Deeper Life Christian Ministry huyu alikuwa Lecturer wa mathematics chuo kikuu Cha Lagos ana bachelor degree in Mathematics kutoka chuo kikuu Cha Ibadan na Masters na PhD degrees kutoka chuo kikuu Cha Lagos Nigeria .

4.Pastror Chris Oyakhilome wa Kanisa la wa kanisa la Christ Embassy huyu ana degree mbili bachelor na Masters in Architecture na kifani Ni Architecture

Ana makanisa Dunia nzima

5.David Oyedepo
Huyu baba yake alikuwa muislamu na mama yake Mkristo

Huyu alisomea mambo ya Architecture na ni Architecture by profession na ana PhD in Human Development kutoka chuo kikuu Cha Hawaii

Alfanya kazi serikalini akafungua kanisa la Winners Chapel ambalo Hadi Leo Lina matawi kote duniani

Hawa wote Wana makanisa mabara yote na nchi nyingi ya watu wa rangi zote na lugha tofauti pia na Tanzania yapo


Hivyo tukiongelea wamisionari pia tusisahau Hawa wamisionari waafrika wenzetu ambao hata ukienda ulaya au Asia,au marekani au Asia au Australia kote utakuta makanisa yao
All are Engineers
 
Wanafanya kazi nzuri
Kabisa Wanigeria Kwa Sasa ndio wanaojua umisionari ni Nini na bara la Africa wameliwakilisha vizuri mno mabara mengine kujua kuwa Africa pia Ina wamisionari ngozi nyeusi wawezao kufungua makanisa nje ya nchi mabara yote wa Kila rangi na Kabila wawe wazungu,waasia nk

Wanigeria wameiwakilisha Africa kikamilifu kuheshimiwa kuwa waafrika ngozi nyeusi kuwa tuna kitu hapo nimetaja baadhi tu sijataja wanigeria kama TB Joshua l ambaye mabara yote na nchi zote watu wa mataifa karibu yote na karibu Lugha zote na karibu Kabila zote wenye dini na wasio na dini ikiwemo Tanzania wanamjua Hadi Israel Marabi wakuu walitaka akajenge makao makuu ya huduma Yake Israel na walimpa Hadi eneo kuwa ahame Nigeria àkajenge Israel na alipokufa walienda mazishi yake na serikali ya Israel ilituma ujumbe kwenye mazishi yake

Wako wengi mno Wanigeria wanaotikisa Dunia Kwa umisionari nimechukua hao wachache kama sample tu
 
All are Engineers
Yes most of them wako wengi Wana fall hiyo fani

Engineering ni fani pekee inayohitaji watu wenye akili nyingi mno ndio maana hata wakijitosa fani za dini performance yaweza kuwa juu mno at local level or international level tofauti na fani zingine
 
All are Engineers
Watu wakweli wengi ni Engineers tu sababu performance ya kazi zao hupimwa baadaye mfano kajenga nyumba au daraja likaanguka yeye ndie ataambiwa mbovu au katengeneza bidhaa chini ya kiwango yeye mass ndio watamlaumu ndio maana most Engineers wanapenda perfection popote wawapo iwe fani zao au outside ya fani zao iwe kidini nk they mean business
 
Makanisa mengi yalioyoanzishwa na waafrika na kusambaa mataifa mengi duniani ni ya Wanigeria

Wanigeria hao ambao hawakupitia mfumo wa kawaida wa Elimu ya dini na vyeti vya kidini lakini uwezo wao wa kujua dini na umisionari ni mkubwa mno wako na makanisa Yao yako mabara yote ya Dunia ukienda utakuta makanisa Yao

Watu hao ni

1.Pastor Dr Enoch Adeboye wa kanisa la Redeemed Christian Church of God huyo alikuwa Profesa wa Hisabati wa Chuo kikuu Cha Lagos kabla kuacha na kufungua kanisa lenye matawi kote duniani

Ana bachelor degree ya Hisabati kutoka chuo kikuu Cha Lagos,Masters degree in Hydrodynamics kutoka chuo kikuu Cha lagos na PhD in Applied Mathematics kutoka chuo kikuu Cha Lagos


2.Proffessor Daniel Kolawole Olukoya wa kanisa la Mountain of Fire and Miracles Ministry

Huyu ana. Bachelor degree in Microbiology kutoka University of Lagos,Masters degree na PhD in Molecular Genetics kutoka chuo kikuu Cha Reading

Akiwa Professor alianzisha Hilo kanisa na Lina matawi Dunia nzima

3.William Folorindo Kumuyi wa kanisa la Deeper Life Christian Ministry huyu alikuwa Lecturer wa mathematics chuo kikuu Cha Lagos ana bachelor degree in Mathematics kutoka chuo kikuu Cha Ibadan na Masters na PhD degrees kutoka chuo kikuu Cha Lagos Nigeria .

4.Pastror Chris Oyakhilome wa Kanisa la wa kanisa la Christ Embassy huyu ana degree mbili bachelor na Masters in Architecture na kifani Ni Architecture

Ana makanisa Dunia nzima

5.David Oyedepo
Huyu baba yake alikuwa muislamu na mama yake Mkristo

Huyu alisomea mambo ya Architecture na ni Architecture by profession na ana PhD in Human Development kutoka chuo kikuu Cha Hawaii

Alfanya kazi serikalini akafungua kanisa la Winners Chapel ambalo Hadi Leo Lina matawi kote duniani

Hawa wote Wana makanisa mabara yote na nchi nyingi ya watu wa rangi zote na lugha tofauti pia na Tanzania yapo


Hivyo tukiongelea wamisionari pia tusisahau Hawa wamisionari waafrika wenzetu ambao hata ukienda ulaya au Asia,au marekani au Asia au Australia kote utakuta makanisa yao
✅🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom