matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,668
- 15,512
Wako vizuri. Tukiacha kuwafanya kuwa mabilionea kuna impact yoyote kwa jamii waliyofungua makanisa.
Naona bado tunatembelea maono ya wamisionari wa enzi za wakina Karl Peters. Mimi nataka nikipeleka umissionary wangu kutokea Tanzania, ulaya na marekani yote inasimama
Naona bado tunatembelea maono ya wamisionari wa enzi za wakina Karl Peters. Mimi nataka nikipeleka umissionary wangu kutokea Tanzania, ulaya na marekani yote inasimama