Sifa za Mwanaume halisi

Sifa za Mwanaume halisi

kamwe haumuumizi mwanamke.

Kuwa mwangalifu sana unapomfanya mwanamke kulia, maana Mungu huhesabu machozi yake.

MWANAMKE

alitoka kwenye ubavu wa mwanaume

SI kutoka kwa miguu yake ili akanyagwe
SI kutoka kichwani mwake ili awe juu, bali kutoka ubavuni mwake ili muwe sawa.

Chini ya mkono ili alindwe na karibu na MOYO ili apendwe

Mabaharia tumeelewana?View attachment 2555591
Mwanamke kulia lazima na sio machozi tu

Sent from my TECNO KG7h using JamiiForums mobile app
 
Vipi kwa wanawake ambao wanatuumiza ?
Msamehe mtu yeyote ambaye amekusababishia maumivu au madhara.

Kumbuka kwamba kusamehe sio kwa wengine. Ni kwa ajili yako. Kusamehe sio kusahau. Ni kukumbuka bila hasira. Huweka huru nguvu zako, huponya mwili wako, akili na roho. Msamaha unafungua njia kuelekea mahali papya pa amani ambapo unaweza kuendelea licha ya kile ambacho kimekupata.
 
Pole mkuu,jikaze jikazee
881e07f4d016e46bb3b9cb51b56a78d0.jpg
 
kamwe haumuumizi mwanamke.

Kuwa mwangalifu sana unapomfanya mwanamke kulia, maana Mungu huhesabu machozi yake.

MWANAMKE

alitoka kwenye ubavu wa mwanaume

SI kutoka kwa miguu yake ili akanyagwe
SI kutoka kichwani mwake ili awe juu, bali kutoka ubavuni mwake ili muwe sawa.

Chini ya mkono ili alindwe na karibu na MOYO ili apendwe

Mabaharia tumeelewana?View attachment 2555591
Kwani wewe mkuu hujawahi kumliza mwanamke? Au ulisha tubu?
 
Msamehe mtu yeyote ambaye amekusababishia maumivu au madhara.

Kumbuka kwamba kusamehe sio kwa wengine. Ni kwa ajili yako. Kusamehe sio kusahau. Ni kukumbuka bila hasira. Huweka huru nguvu zako, huponya mwili wako, akili na roho. Msamaha unafungua njia kuelekea mahali papya pa amani ambapo unaweza kuendelea licha ya kile ambacho kimekupata.
Hapa nakuunga mkono ndugu

Sent from my TECNO KG7h using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom