Sifa za Mwanaume halisi

Sifa za Mwanaume halisi

Timiza wajibu wako mengine mwachie Muumba wakoView attachment 2555617
Msamehe mtu yeyote ambaye amekusababishia maumivu au madhara.

Kumbuka kwamba kusamehe sio kwa wengine. Ni kwa ajili yako. Kusamehe sio kusahau. Ni kukumbuka bila hasira. Huweka huru nguvu zako, huponya mwili wako, akili na roho. Msamaha unafungua njia kuelekea mahali papya pa amani ambapo unaweza kuendelea licha ya kile ambacho kimekupata.
Kweli Mkuu
 
How mkuu?
Jamani....
30b601a36286855f1ba5dc49096b8b6d.jpg
 
kamwe haumuumizi mwanamke.

Kuwa mwangalifu sana unapomfanya mwanamke kulia, maana Mungu huhesabu machozi yake.

MWANAMKE

alitoka kwenye ubavu wa mwanaume

SI kutoka kwa miguu yake ili akanyagwe
SI kutoka kichwani mwake ili awe juu, bali kutoka ubavuni mwake ili muwe sawa.

Chini ya mkono ili alindwe na karibu na MOYO ili apendwe

Mabaharia tumeelewana?View attachment 2555591
We mzee umeanza kuzeeka..itabidi urudi gonja...!!
 
We should all be nice to each other, haya mambo ya machozi ya mwanamke nini nini mmeongeza nyinyi kwa sababu mnazijua wenyewe.
Wakati mwingine unachoweza kufanya ni tabasamu tu. Endelea na siku yako, zuia machozi na ujifanye kuwa uko sawa.
 
Back
Top Bottom