Sifa za Mwanaume halisi

Sifa za Mwanaume halisi

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,404
Reaction score
829,732
kamwe haumuumizi mwanamke.

Kuwa mwangalifu sana unapomfanya mwanamke kulia, maana Mungu huhesabu machozi yake.

MWANAMKE

alitoka kwenye ubavu wa mwanaume

SI kutoka kwa miguu yake ili akanyagwe
SI kutoka kichwani mwake ili awe juu, bali kutoka ubavuni mwake ili muwe sawa.

Chini ya mkono ili alindwe na karibu na MOYO ili apendwe

Mabaharia tumeelewana?
0d544d62d4138b11874b061b93f43136.jpg
 
kamwe haumuumizi mwanamke.

Kuwa mwangalifu sana unapomfanya mwanamke kulia, maana Mungu huhesabu machozi yake.

MWANAMKE

alitoka kwenye ubavu wa mwanaume

SI kutoka kwa miguu yake ili akanyagwe
SI kutoka kichwani mwake ili awe juu, bali kutoka ubavuni mwake ili muwe sawa.

Chini ya mkono ili alindwe na karibu na MOYO ili apendwe

Mabaharia tumeelewana?View attachment 2555591
Yeah man. You said it well
 
Lakini Mama zetu labda lakini hawa wanawake wa huku mtaani ukizubaa wanakuachia Msiba mzito lazima ucheze kwa step
Timiza wajibu wako mengine mwachie Muumba wako
7d4ce67bed557b4aefa03a1e192259bc.jpg

Msamehe mtu yeyote ambaye amekusababishia maumivu au madhara.

Kumbuka kwamba kusamehe sio kwa wengine. Ni kwa ajili yako. Kusamehe sio kusahau. Ni kukumbuka bila hasira. Huweka huru nguvu zako, huponya mwili wako, akili na roho. Msamaha unafungua njia kuelekea mahali papya pa amani ambapo unaweza kuendelea licha ya kile ambacho kimekupata.
 
Back
Top Bottom