Nimeipenda sana hiyo.
Bishanga, unalia ila sio kupiga kungwi maana utaleta tafrani kijijini.
Hapo nilipoweka red sijaelewa naomba ufafanuzi.
Hiyo namba 8 magonjwa yatatupita kweli?
Hiyo namba 9 naona nyumba itageuka gereza lol hata huyo baba mdomo utanuka.
Na mwanamume akizidi kulia kuna uwezekano wa kupoteza mwanafamilia maana mwingine kadri anavyolia alafu mdingi anyamazi mwisho wa siku anadondoka kwa kukosa ujasiri maana role model wake anaemwamini amemwangusha
Wewe King'asti ulikuwa hapi hadi unakuja kuchungulia wakati party ilishaisha kitambo???
Hata hivyo, maoni yako yanasubiriliwa kwa hamu sana.....
Hope utafunguka muda si mrefu!!~
Ulikuwa wapi ndugu yangu Jodoki Kalimilo?
Kuna watu tulijitahidi kuwaelewesha ila waliziba masikio yao kwa super glue...Ikabaki wenzao kama tunatwanga maji kwenye kinu!!!
Nadhani wadau inabidi wakubali tu kwamba, lazima kwenye ndoa awepo mwanamume wa kweli ambaye ni tofauti na mwanamke...Vingenevyo ndoa inaweza kuonekana kama bweni la wasichana wanaoishi kwenye chumba kimoja!!
Babu DC!!
Babu, nna wasiwasi kuwa bibi hujampa haki yake ya msingi, manake hata kama umesha, saa hizi snuggling zinahusika. Ama wazee ham-snuggle?
Mie nilikula miguu ya kuku, sijui nilikuwa nazurura wapi hata nikapitwa. Hivi umenionaje na wewe, aaaghhh!
Wakati mwingine tunapotea kutokana na technolojia duni kwani mtandao husumbua, kuna mbaba mwingine amelia mbele ya baraza la madiwani (mkuu wa wilaya ya Nkasi) kutokana na utendaji mbaya wa halmashauri huku mwanamama ambae ni mkurugenzi wa wilaya (DED) akiwa kakomaa sura kavu isiyo na shaka yoyote. Sasa DC mzima analia mbele za watu badala ya kutatua tatizo hapa si sawa na huu uzi, badala ya kukabiliana na tatizo yeye analia sijui alitegemea kwamba alipoteuliwa kuwa DC atakuta kila kitu kipo sawa?
Ndo hapo sasa, ujue kuwa mie ndiye Babu DC!
Kuhusu bibi, sijamuonea bwana...Niko huku mitaani nafanya sensa ya watu ambao hawakulala kwao...Sijui nikikutana na fake couples nitafanyaje!!!
Babu DC!!!
Babu bwana, we umeambiwa uhesabu watu waliolala pamoja tarehe 25 kuamkia 26, hukuambiwa uwaulize kama ni kapo au la. hahhah utasutwa shauri yako
Babu bwana, we umeambiwa uhesabu watu waliolala pamoja tarehe 25 kuamkia 26, hukuambiwa uwaulize kama ni kapo au la. hahhah utasutwa shauri yako
Ndo hapo sasa, ujue kuwa mie ndiye Babu DC!
Kuhusu bibi, sijamuonea bwana...Niko huku mitaani nafanya sensa ya watu ambao hawakulala kwao...Sijui nikikutana na fake couples nitafanyaje!!!
Babu DC!!!
Mkuu Dark City, kimsingi kila eneo limegusiwa... Kwa undani na umakini tena kwa pande zote mbili... Hapa hata la kuongeza ni mtihani.
Hongera kwa such a lovely topic.. Pamoja sana.