Sifa za mwanamke wa kuoa

Kama hujanioa sahau mm kulala kwako mbaka asubuhi eti nadeki nafua napika sasa si ndi tutaanza na kuzaa bila ndoa. Yaan kwanamme ambae hajakuoa usimfanyie mambo kama mme wa ndoa.
 
Kama hujanioa sahau mm kulala kwako mbaka asubuhi eti nadeki nafua napika sasa si ndi tutaanza na kuzaa bila ndoa. Yaan kwanamme ambae hajakuoa usimfanyie mambo kama mme wa ndoa.
ha ha ha wanaoolewa siku hizi ni wachache mkuu;usipokubali kuingia kwenye mchakato wa ushindani,jiandae kuwa single M.
 
Mzee akivua chupi nasuruali pamojaaa


Uyoo oaaa, papuch ni. Utaichukia
 
ha ha ha kupata 'wife material' ni mtihani mgumu sana
Siyo kazi kubwa kama unavyofikiria mkuu, kila mwanamke ana sifa ya kuwa wife ni wewe tu na quality zako unayemuona hafai kwako kwa mwingine nafaa sana tu
 
Siyo kazi kubwa kama unavyofikiria mkuu, kila mwanamke ana sifa ya kuwa wife ni wewe tu na quality zako unayemuona hafai kwako kwa mwingine nafaa sana tu
Migogoro ya kwenye ndoa inasababishwa na kukosea kuoa mwanamke mwenye sifa tajwa.
 
Umepewa na nani hizo akili?
Ni swali gumu sana mkuu,ni sawa na kujiuliza, ni kitu gani kinafanya ndege ipae angani wakati imebeba vifaa vizito kama vifaru n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…