mazojms
JF-Expert Member
- Sep 22, 2017
- 1,607
- 2,481
Akinadada wako busy kuadjust tits na asses meanwhile wanasahau kujazajaza vitu kichwani.Uko sahihi kila mtu kuna kitu tofauti anachovutiwa na mwanamke,
Akinadada wako busy kuadjust tits na asses meanwhile wanasahau kujazajaza vitu kichwani.Uko sahihi kila mtu kuna kitu tofauti anachovutiwa na mwanamke,
Uko sahihi kabisa wanawake nao tunajisahau kabisa tunadhani tako ndio kila kitu na tunasahau kuwa ukiwa mtupu kichwani huna thamani hata kama uta contena nyuma.Akinadada wako busy kuadjust tits na asses meanwhile wanasahau kujazajaza vitu kichwani.
Mm siwez sema kweli maana ni mwanamke ila mm nikimuuliza Mr alichonipendea anataja vitu tafauti na ulivyotaja na ndio maana nikasema kila mtu ana jicho lake.Dada sema kweli ww hupendi chuchu zilizochomoza kwenye blauzi hupendi tako ww
Sio mpaka usema baby hebu simama wakuoneSura pia iwe ya kuonekana tafadhali
Mwanamke mzr akiwa uchi tu.Sifa za mwanamke mzuri na anayevutia
1. Chuchu size inayoonekana
2.Tako size inayoonekana
Nimemaliza hapo ndio mwisho. Hivyo ndivyo vinafanya hata nguo zimpendeze.