1. Awe na umri kuanzia 40+ na awe na kwake (private),
2. Awe mfanyabiashara mwenye bar, Mama lishe, saloon au boutique.
3. Awe na ndinga (Harrier au hata Alphard si mbaya), akuachie uwe dereva wa hiyo gari kupiga nayo misele baada ya kumshusha kazini kwake.
4. Awe na minyama (tumbo, wezere na nyama za mikono).
5. Awe single Mother (Mama Junior).
6. Awe mlevi wa pombe Kali,
NB: epuka mashangazi ya Kariakoo, Ilala, Buza, Tandika, Mbagala, Magomeni na Kinondoni hayo Ni ya mchongo, full mizinga! Shangazi gani anashindia dera na ndala miguu imepauka
2. Awe mfanyabiashara mwenye bar, Mama lishe, saloon au boutique.
3. Awe na ndinga (Harrier au hata Alphard si mbaya), akuachie uwe dereva wa hiyo gari kupiga nayo misele baada ya kumshusha kazini kwake.
4. Awe na minyama (tumbo, wezere na nyama za mikono).
5. Awe single Mother (Mama Junior).
6. Awe mlevi wa pombe Kali,
NB: epuka mashangazi ya Kariakoo, Ilala, Buza, Tandika, Mbagala, Magomeni na Kinondoni hayo Ni ya mchongo, full mizinga! Shangazi gani anashindia dera na ndala miguu imepauka