sasa hao mbona ni wanaume 16 tofauti mkuu?1. Anajitambua
2. Mpole
3. Ana busara
4. Ni mtoaji sio mchoyo tena bila kuomba
5. Ana tafuta solution tu pindi akikukwaza
6. Hayuko tayari ku kupoteza
7. Ana risk kila kitu kwaajili yako
8. Ana huruma
9. Anakufanyia suprise often just kukufanya uwe na furaha
10. Ana kusifia very often
11. Anakua open na kueleza mipango yake
12. Anakua na wewe kwenye shida na raha
13. Anakuambia nakupe very often
14. Anawajulia hali familia yako
15. Sio mtu wa kununa wala kukasirika ovyo
16. Ni mpambanaji na anajitegemea
Na zingine malizieni.
Hakuna binadamu wa hivo na huwez kupata mtu anasifa zote unazotaka
Hata kuwa treated km paka LA Bar, maokotoo yatamaliza yote hayoo.
Hahahaha nimetazama sifa zangu hapo nikaziona kama tano tuuu…. ! Yani kumpata mwenye sifa kama hizo huyo ni so called “dead body” hakuna mwanaume hai atakuwa na sifa zote hizo
ili mizami i balance tugawe kwa mbili sawa na wanaume 8Yaan hapo umetaja wanaume 16
😂😂😂😂😂😂💦Eti "anakufanyia surprise very often"...😃😃😃😃😃
Ma tamthilia ya kituruki na kikorea yamewajaa vichwani.....
Mtaishia kupata "bongo movie"mkiendekeza hizo tamthilia 😃😃😃
Umekuja kumchamba mumeo hapa jf.1. Anajitambua
2. Mpole
3. Ana busara
4. Ni mtoaji sio mchoyo tena bila kuomba
5. Ana tafuta solution tu pindi akikukwaza
6. Hayuko tayari ku kupoteza
7. Ana risk kila kitu kwaajili yako
8. Ana huruma
9. Anakufanyia suprise often just kukufanya uwe na furaha
10. Ana kusifia very often
11. Anakua open na kueleza mipango yake
12. Anakua na wewe kwenye shida na raha
13. Anakuambia nakupe very often
14. Anawajulia hali familia yako
15. Sio mtu wa kununa wala kukasirika ovyo
16. Ni mpambanaji na anajitegemea
Na zingine malizieni.
Shida ni kama matako kila mtu anayo, sema yanatofautiana size tuKama ww tu dunga mawe jina tu linaonesha unashida za kutosha
Mimi tayari nishapita huko kwenye hizo maigizo zenu. Niko na 40+ nina familia tayari. Tu nyie mabinti wa siku hizi hapo ndio mnapofail ndio maana ndoa zenu hazidumu. Unaingia kuolewa lakini taget yako ni kumchuna huyo kijana,sio kuolewa. Nyie Hakuna tofauti na vibaka tu. Akiishiwa ndio mnaanza kutafuta mbadala pembeni. Ndio hapo mwisho wenu ni magunia matatu ya mkaa.mnawaingiza kwenye matatizo tu vijana kuishia jera.naona imekuingia mpaka kwenye moyo ndo maana umepanick
MWANAUME WA KWELI NI YULE ANAHUDUMIA FAMILIA YAKE NA MPENZI WAKE .
Nyie Ndio wanaume wa kukaa mbali kabisa na nyie
Anazo anafanya kusudi.....kuna ķitu anataka aku shape kupitia kujifanyisha hukoWangu amekosa 4 na 7 ....ni huzuni😭
Inaonekana ndoa yako inatatizo na hayo uloandika ndiyo umeyakosa kwa mumeo.
Umeandika HUDUMA unazozimis kwa mumeo. Pole sana.
Hauwezi kuwa husbands bila sifa kuu
1.Mtafutaji
2.Kiongozi wa familia
3.Anayejali afya yake na ya familia.
Mengine ni mbwembwe tu, kama za tamthilia za kilorea.