Eti "anakufanyia surprise very often"...
Ma tamthilia ya kituruki na kikorea yamewajaa vichwani.....
Mtaishia kupata "bongo movie"mkiendekeza hizo tamthilia
Wala afu Sina demu wa serious kiivo kwamba nimejitosa mazimaUtagongewa
Labda unzae mwenyewe tena mimba uwe umepewa na malaika
Ni mwanaume mpumbavu tu anaweza kuwa na sifa hizo zote. Na ni mwanamke mbinafsi tu na asiyejua kutafuta pesa atahitaji sifa zote hizo kwa mwanaume. Kaka zangu amkeni.
usicheke wakati naumia mwenzio
1. Anajitambua
2. Mpole
3. Ana busara
4. Ni mtoaji sio mchoyo tena bila kuomba
5. Ana tafuta solution tu pindi akikukwaza
6. Hayuko tayari ku kupoteza
7. Ana risk kila kitu kwaajili yako
8. Ana huruma
9. Anakufanyia suprise often just kukufanya uwe na furaha
10. Ana kusifia very often
11. Anakua open na kueleza mipango yake
12. Anakua na wewe kwenye shida na raha
13. Anakuambia nakupe very often
14. Anawajulia hali familia yako
15. Sio mtu wa kununa wala kukasirika ovyo
16. Ni mpambanaji na anajitegemea
Na zingine malizieni.
Wanawake kama nyie huwa mnafanya mwanaume kama chuma ulete. Fanya kazi add value kwa mwenzako (ili maisha yenu yaende, cz its a collaboration and life partnership and support dem akiwa hivi hata sioni noma akila hela yangu cz kuna kitu anachangia kwenye returns not otherwise)
Otherwise tunakula tunabwaga. Dem mpe ur resources and time only if ana positive impact kwako. Mtu akiku drain unapiga chini. Life is short to entertain stupidity.
Unakuta mwanamke serious kabisa ana kazi na kipato chake kizuri tu anakuomba hadi vocha, sadaka, sijui hela ya daily basics man What Tha FxxK. Ukicheck gharama zote za maisha na housing welfare na cover mm. Hapana Kwa Kweli.
Financial Issues Are The Number One Cause Of Divorce These Days All Cz Mmoja Ni Mjinga Tu Wa Kufikiri.
Wanawake mtaamka lini na kuacha ndoto hiyo ya kihayawani hakuna kiumbe mwenye sifa hizo hapa duniani
😂😂😂Ila umewapangA
Asante mpenz..yaan😔Polee hun
Nature haibadiliki mwanume Ndio anae hudumia familiahuwezi kuwa mume kama anakimbia majukumu yako
Na ww hufai kabisa kwa upuuzi ulioandika ww utashindwa hata kuihudumia familia hufai huwezi responsibility hujakamilika kama mwanaume ww nia aisha tu
Ukweli lazima nikwambie uchukie utukane ila ukweli umeupata
Una comment upuuzi na kujichekesha mwenyewe.
Aliyesema mwanaume akimbie majukumu nani ?? Ndio mazob@ wenyewe nyie hahaha
Vyote hivyo afanye kwa ajili yako tu?. Hivi kweli mwanaume kweli yupo kwa ajili ya kumtimizia mahitaji mwanamke tu?. Wewe mwanamke upo tu kibwege bwege unasubiri utekelezewe utitiri wote huo?. Maisha yenyewe haya?.
Hapo ndipo mnapowatisha vijana kuingia kwenye ndoa. Hakika kwa mtindo huo mtazalishwa sana mubaki single mother milele,ksbb huwezi kubaki milele ukisubiri huyo mtu bila kumegwa. NARUDIA TENA MTAZALISHWA SANA MUBAKI SINGLE MOTHER, WAOAJI HAWAPO. Kenge nyie
Ndo maana ake.Namkubali sana yule rafiki yako boss wa kariakoo jina sijui lamomy yy hana mbambamba defn ya mwisho ya husband material nihizi porojo zngn hana mda nazo
Hata kuwa treated km paka LA Bar, maokotoo yatamaliza yote hayoo.Anawez akawa na maokoto ila unakuwa treated kama mbwa mpk unajuta na izo hela