Strong and Fearless
JF-Expert Member
- Apr 24, 2017
- 890
- 2,203
- Thread starter
-
- #181
1. Anajitambua
2. Mpole
3. Ana busara
4. Ni mtoaji sio mchoyo tena bila kuomba
5. Ana tafuta solution tu pindi akikukwaza
6. Hayuko tayari ku kupoteza
7. Ana risk kila kitu kwaajili yako
8. Ana huruma
9. Anakufanyia suprise often just kukufanya uwe na furaha
10. Ana kusifia very often
11. Anakua open na kueleza mipango yake
12. Anakua na wewe kwenye shida na raha
13. Anakuambia nakupe very often
14. Anawajulia hali familia yako
15. Sio mtu wa kununa wala kukasirika ovyo
16. Ni mpambanaji na anajitegemea
Na zingine malizieni.
17.Pia HAYUPOπ
Hivyo vyote unaweza pata kwa mwanaume mmoja ila tatizo nyie mnatoa nini zaidi mnaishia kuwaumiza na wanaamua kuwa mabedui. Ndio maana tukaamua kila mmoja awe na sifa moja wapo hapo ili msituchanganyie mafaili
17.pia HAYUPOπ1. Anajitambua
2. Mpole
3. Ana busara
4. Ni mtoaji sio mchoyo tena bila kuomba
5. Ana tafuta solution tu pindi akikukwaza
6. Hayuko tayari ku kupoteza
7. Ana risk kila kitu kwaajili yako
8. Ana huruma
9. Anakufanyia suprise often just kukufanya uwe na furaha
10. Ana kusifia very often
11. Anakua open na kueleza mipango yake
12. Anakua na wewe kwenye shida na raha
13. Anakuambia nakupe very often
14. Anawajulia hali familia yako
15. Sio mtu wa kununa wala kukasirika ovyo
16. Ni mpambanaji na anajitegemea
Na zingine malizieni.
Nakubaliana na wewe mtoa mada
Ila tu hao wapo kwenye kdrama
Hizo sifa wanaume wote tunakuwa nazo kabla ya kuoa,ila tukishaoa tu zinaanza kupungua.....
Basi hongereni sanaHuo ni mtazamo wako wengine kama sir tunao wenye hivyo vyote
Kuwa open minded basi
Naona suala la kukojozwa hujaliweka kwakuwa mkata majani ya ng'ombe atamaliza hiyo shida!1. Anajitambua
2. Mpole
3. Ana busara
4. Ni mtoaji sio mchoyo tena bila kuomba
5. Ana tafuta solution tu pindi akikukwaza
6. Hayuko tayari ku kupoteza
7. Ana risk kila kitu kwaajili yako
8. Ana huruma
9. Anakufanyia suprise often just kukufanya uwe na furaha
10. Ana kusifia very often
11. Anakua open na kueleza mipango yake
12. Anakua na wewe kwenye shida na raha
13. Anakuambia nakupe very often
14. Anawajulia hali familia yako
15. Sio mtu wa kununa wala kukasirika ovyo
16. Ni mpambanaji na anajitegemea
Na zingine malizieni.
Vitamu kula wenzio acha uchoyo we mtotoAta na sisi wanawake siku hizi tunawakimbilia nchi za nje tumewachaa nyie wanaume mnaowadangia wanawake na wake za watu maana siku hizi nyie wanaume hamuwezi kufanya kazi mbasubiri kuolewa
Sawa mkuuWengine wanafanya for a lifetime
Tatizo humu wote hamjawahi pata wanaume wa hivyo Ndio maana mpo very negative na mlishajikatia tamaa
Hii thread ni ya kutupanga wanaume tuwe mazwazwa ili wanawake wawe wanatutawala KIKONDOO. Katika jina la yeye aliyeniumba Alpha Male nasemaje, MMENIKOSAAA1. Anajitambua
2. Mpole
3. Ana busara
4. Ni mtoaji sio mchoyo tena bila kuomba
5. Ana tafuta solution tu pindi akikukwaza
6. Hayuko tayari ku kupoteza
7. Ana risk kila kitu kwaajili yako
8. Ana huruma
9. Anakufanyia suprise often just kukufanya uwe na furaha
10. Ana kusifia very often
11. Anakua open na kueleza mipango yake
12. Anakua na wewe kwenye shida na raha
13. Anakuambia nakupe very often
14. Anawajulia hali familia yako
15. Sio mtu wa kununa wala kukasirika ovyo
16. Ni mpambanaji na anajitegemea
Na zingine malizieni.
Huyo atakuwa malaika material....1. Anajitambua
2. Mpole
3. Ana busara
4. Ni mtoaji sio mchoyo tena bila kuomba
5. Ana tafuta solution tu pindi akikukwaza
6. Hayuko tayari ku kupoteza
7. Ana risk kila kitu kwaajili yako
8. Ana huruma
9. Anakufanyia suprise often just kukufanya uwe na furaha
10. Ana kusifia very often
11. Anakua open na kueleza mipango yake
12. Anakua na wewe kwenye shida na raha
13. Anakuambia nakupe very often
14. Anawajulia hali familia yako
15. Sio mtu wa kununa wala kukasirika ovyo
16. Ni mpambanaji na anajitegemea
Na zingine malizieni.
6, 7, 10, 11 na 13
Mwanaume akifanya hayo.
Huku kimbiji huwa wamama watu wazima wanasema.
Kalishwa mavi na mke wake.
Umezaa Mtoto wa kiume? Au badoUshasema kimbijimeans hawajui lolote
Na lazima asemeNa bado hajasema...