Sifa, shobo na usharobaro vyamtokea puani mwanafunzi wa UCC Mbezi beach mbele ya wajeda leo

duuu pale lugalo kuna siku
tulikua kwenye daladala
moja wa abiria katika basi
alitupa takataka
weeeeeee ilikua nomaaaaa
wale wajeda acha tuuuu
wakasimamisha daladala
na kuuliza aliyetupa takataka watu tukakaushaaaaaa
weeeeeeeee yaniiiiiii kidogo tufie paleeeeeee
waliamuru vioo vifungweeeee
imagine mko wengi kwenye daladala yaniiii tuliteseka hewaaa hakunaaaa
ilibidi tumtaje aliyetupa taka
akashushwaaa aseeee alipewa adhabu mfano hakunaaaaaa:(
 
Ni Tanzania tu ambako mwanajeshi anajiona mungu mtu. Kwani wangemuonya pasipo kumpiga ingekuwaje??

Nafikiri tangu nyerere kuna kosa lilifanyika mahali. Mwanajeshi , polisi ni watu wa kawaida kabisa na kwa nini jamii inajenga dhana kuwa ni watu wa kuogopwa ?? Huu ni ujinga.

Enzi ya nyerere ipi unayoisema?
 
kama hujui usiseme usichokijua .ni hivi gari za polisi au jeshi ziangalie kwa mbele kwa nje upande wa kulia zimechorwa mduala mkubwa warangi nyekundu au nyeupe au njano alama hii inamaanisha kwamba gari hili inapobidi linaruhusiwa kupita barabarani bila kufata site yake.usishangae kupita hata usio kuwa upande wake.vyombo hivi vya usalama ni ruksa kufanya hivyo

jambo usilolijua ni kama usiku wa giza. Shule gani umefundishwa vitu vya ajabu kama ulivyoandika.
 
Sijaona kosa la huyo dogo na vile vile hao wanajeshi waache ujinga na nyie mnaoshabikia acheni ujinga kitendo kilichofanyika ni kinyume za haki za binadamu.

Kwa waliopitia jeshini wanaelewa sana. Usiwaponze vijana ambao hawaelewi masuala ya jeshi yana taratibu zake. hata mimi mtu akinipiga picha sikubali anaipeleka wapi.Muwafundishe vijana ili waelewe. Uhuru una mipaka yake!
 
Nduguyangu sio wanajeshi tu, hata mimi binafsi sipendi mtu simjui alafu anipige picha, aniipeleka wapi nini maelezo yake huko atakako iweka. Labda iwe nimeshindwa kumdhibiti tu, kama yupo ndani ya uwezo wangu kufa hafi ila chamoto atakiona.
Aiseeeeeeee
 
Back
Top Bottom