Sifa na tabia za wameru

Status
Not open for further replies.
Ndio nimeanza maskani mjini Arusha ningependa kujuzwa na wale 'wazoefu' kuhusu wadada wa ki-meru hasa tabia na kama ni 'wife materials'

Nimetumia muda mwingi kucheka kuliko kufikiria hatma ya nchi yetu ambayo sisi ndio wenyewe. Labda mimi niulize swali: Hicho ndio kilichokupeleka Arusha?

Kesho utahamia Singida napo tupate kazi ya kukueleza wanawake wa Kinyaturu na Kinyiramba walivyo. Sasa kazi tutakuwa nayo siku ukienda Tanga. Labda mimi nikushauri jambo ndugu yetu uliyeamua kutushirikisha kwenye uzinzi, hiyo shughuli yako ya msingi ifanye kwa CONDOM. Wawe wana kiburi au hawana UKIMWI WANAO.

Vipi wanaume, hutaki kuwajua? Wanakabaaaaa! Wanachoma visuuu! Wanakufanya hamna ukiwadhulumu chalii yangu.....bora na wanawake.
 
wababe sana.....

Ni kweli,mana nilikuwa nae nikamtema kwa ajil hiyo,na mpaka sasa bado ananidai hela yake ambayo alinipa,najiuliza hivi wao wakionga halafu tukiachana wana haki ya kudai?mbona sisi hatuwadai vitu tulivyowahonga baada ya kuachana?
 
Nina mmeru hapa always tunagombana mpaka ndoto zangu za kumuoa zinapungua? Je ni huyu tu wakwangu au ndo tabia ya wanawake wakimeru full ugomvi, from nathing to beef, naomba maelezo kwa wameru mliopo msukuma me nataabika!
 
ngoja waje wajuaji utasikia mara oooh hawa ni wamachame walio hamia huko arusha so ni wapalestina...........mara oooh ni wakorofi kuliko hata wapalestina wenyewe. yangu mi macho tu hapa.
 
Aiseee baba yangu ngoja nimwite mchaga mwenzangu tupange uzazi wa mpango mie

huku nangoja mtango mezani
 
mkuu kama mkeo mkorofi ni yeye na haina mahusiano na kabila lake wala makazi yake. pia havina uhusiano na ndugu zake ama wazazi wake. kuna watu tu ambao wako hivyo hawawez kujifunza iwe formal ama non formal na hata kama watasoma basi wanafaulu tu shule ila kwenye maisha ya kijamii wanafeli.
 
mkuu kama mkeo mkorofi ni yeye na haina mahusiano na kabila lake wala makazi yake. pia havina uhusiano na ndugu zake ama wazazi wake. kuna watu tu ambao wako hivyo hawawez kujifunza iwe formal ama non formal na hata kama watasoma basi wanafaulu tu shule ila kwenye maisha ya kijamii wanafeli.

Nmekusoma mkuu, is it my bby amefeli? Du poa bro
 
hebo oa haraka
watoto wa mmeru na msukuma huwa wako bomba afu vipanga wa kufa mtu.

Acha upoyoyo basi.

Mrekebisha hayo mambo madogo sana, huwa wavumilivu ukiwaweka mahali pake.

Na utafuga ng'ombe hata kama hutaki.

Natuma salamu kwa wameru wote, hureee!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom