Sifa na tabia za wameru

Status
Not open for further replies.
Mzee ukijifanya wewe kidume basi jiandae tu kukatwa hayo 'manyanga' yako. Hao jamaa kwa ujumla wao, sio wake au waume ni ubabe na ukatili kwa kwenda mbele. Ulizia vita ya wameru miaka ya 70 ndo utawajua, nomaaaaaa hao watu!

Duh! Kwa hiyo wameru na wakurya hamna tofauti?
 
Niweshii kisha denyi "Nawafahamu vizuri sana"
1. Wachapa kazi (kilimo na ufugaji).
2. Lazima jumapili watengeze nywele.
3. Wana uwezo wa kutembea umbali mrefu.
4. Wakati wa uchumba wanatabia ya "kutingisha kiberiti" wanajifanya hawajali kumbe wanaumia.
5. Hawana tabia ya kuhamishia ndugu kwao.(ukimuoa haleti leti ndugu zake nyumbani kwenu).
6. Sometimes ni wabishi na wajuaji sana
7. Wakorofi (physical na kiburi)
8. Wana umoja sana, mchokoze mmoja wanakuja kijiji kizima.
9. Wengi wao ni warembo sana, wana mvuto.

Kama uko Arusha kazi kwako kaka, sema ukifika Sing'isi kuwa mwangalifu sana.
 
Ndio nimeanza maskani mjini Arusha ningependa kujuzwa na wale 'wazoefu' kuhusu wadada wa ki-meru hasa tabia na kama ni 'wife materials'
Mkuu usihangaike we nenda pale AKERI kamwone mzee Pallangyo atakwambia kila kitu kuhusu hao wadada.
Ukiona taabu mpigie simu Mzee Alyce KImaro wa jimbo la Vunjo anawajua wa Sing'isi.
 
Mzee ukijifanya wewe kidume basi jiandae tu kukatwa hayo 'manyanga' yako. Hao jamaa kwa ujumla wao, sio wake au waume ni ubabe na ukatili kwa kwenda mbele. Ulizia vita ya wameru miaka ya 70 ndo utawajua, nomaaaaaa hao watu!

Vita haikuwa miaka ya sabini, ilikuwa 1992. Silaha kubwa mawe
 
Ni wazuri sana. Kwanza wameenda hewani, sura nzuri wana heshima, adabu, wapenda maendeleo. Wanajituma kazini, sio wavivu. Hawako wenye mambo ya ushirikina. Pia c wafujaji wa hela. Mkuu kama umepata bint wa kimeru pita nae huyo ni wife kabisa. ANGALIZO: Wanawake wa kimeru hawapendi mwanaume mlevi, mchafu wa mavazi na mwili. Pia wanapenda mtakachochuma (nikimaanisha hela) mkiweke chote mezani tayari kwa maendeleo yenu.
 
Niweshii kisha denyi "Nawafahamu vizuri sana"1. Wachapa kazi (kilimo na ufugaji).2. Lazima jumapili watengeze nywele.3. Wana uwezo wa kutembea umbali mrefu.4. Wakati wa uchumba wanatabia ya "kutingisha kiberiti" wanajifanya hawajali kumbe wanaumia.5. Hawana tabia ya kuhamishia ndugu kwao.(ukimuoa haleti leti ndugu zake nyumbani kwenu).6. Sometimes ni wabishi na wajuaji sana7. Wakorofi (physical na kiburi)8. Wana umoja sana, mchokoze mmoja wanakuja kijiji kizima.9. Wengi wao ni warembo sana, wana mvuto.Kama uko Arusha kazi kwako kaka, sema ukifika Sing'isi kuwa mwangalifu sana.
Upo sawa kaka!
 
Ndio nimeanza maskani mjini Arusha ningependa kujuzwa na wale 'wazoefu' kuhusu wadada wa ki-meru hasa tabia na kama ni 'wife materials'

Sijui wanawake wa Kimeru wakoje, nimetokea kufanya kazi na jamaa wa Kimeru wengi tu wote ni Crap! Wakorofi, hawaeleweki halafu wengi wao wanasema wameokoka, I think their Women are just the same.
 
kwenye RED mkuu unachokoza nyuki
Sijui wanawake wa Kimeru wakoje, nimetokea kufanya kazi na jamaa wa Kimeru wengi tu wote ni Crap! Wakorofi, hawaeleweki halafu wengi wao wanasema wameokoka, I think their Women are just the same.
 
kwenye RED mkuu unachokoza nyuki

duh unanitisha, ila kuhusu masuala ya 'Kuokoka' karibu kila mtu huku Arusha anadai 'kaokoka' nadhani ni fasheni fulani au ulimbukeni.
Arusha baa zote zinapiga hizi nyimbo zinazodaiwa 'kumsifu bwana'
 
Na haya madai kwamba Wameru wana mahusiano kikabila na Wamachame kiasi cha kuelewana lugha na kushea tamaduni ni kweli?
 
Kwa nje ni wapole SAAANA, wanaongea taratibu na hawana papara.
Ni balaa (hatari) wanapokuwa annoyed. Huwa hawarudi nyuma kirahisi wanapokasirika. Zaidi ya Couples 13 nnazifahamu ambako Mke ni Binti wa Kimeru, Mke ndo huwa na FINAL SAY kwenye mambo mbalimbali.
Ni Vigumu na Utapata tabu sana kuwaelewa hasa unapokuwa umekolea Penzini.
But, ni Wazuri wa Sura, wana afya na nguvu, na ni HARDWORKING NA WENYE MALENGO.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom