HakikaaaHii ni sifa yetu kuu tunajidai wajuaji wa mambo yote duniani
Mpendwa sipendi na sitaki kuanzishiwa uziHawa
Hawachi kuna uzi unakuhusu ngoja nikakuweke kule
Ok maana nilidhani unataka kufungua uzi maana wewe akili zako
Unabadili I’d hii ya kumi acha ukorofi usipewe banKama za afande kingai
Mkuu now 00:30am, 🤣 ahahahaaa...Hawalali
1.wote wana magari.
2.Wote wamefika university
3.wote wamekaa ulaya.
4.Wote wanaishi dar.
5.Wote ni piskali mademu
6. Wote ni hendome wanaume.
7. Wote wana hela.
Hao ndio wana jf ongezea yakwako.
Kwenye jamii zetu hizi za kimaskini ni KOSA1.wote wana magari.
2.Wote wamefika university
3.wote wamekaa ulaya.
4.Wote wanaishi dar.
5.Wote ni piskali mademu
6. Wote ni hendome wanaume.
7. Wote wana hela.
Hao ndio wana jf ongezea yakwako.