Pole na hongera
aisee yalishanikuta bt nkastukia mapemaa!
aisee yalishanikuta bt nkastukia mapemaa!
kama kweli vile ngoja ni take measure fast kabla sijaumbuka mie..
Tulia
hiz habar hazijathbitishwa
Marupurupu ya mwalim ni wanafunz
aisee! Kuna dada niliwahi kuwa naye,ukimpigia simu anakwambia niko bize ntakutafuta baadae kidogo. Mtalala mpaka kesho,ukimpia anaanza kukulaumu eti mbona hukunitafuta? Nilikula kona fasta.!!
haaaa haaaa, haya afisa lakini nimeshaachana nae!
Hii imetulia Chriss.... Saa ingine hata her body language hasa pose ya mwilin na macho yake yaweza toa siri kua hakuendi ama vipi.
Kuhusu hio number tatu sio kipimo kizuri.... Kuna mwanamke mwingine anaweza akupende hasa lakini ni spender ile mbaya na wala hajui nini afanye kwa ajili ya maendeleo, Acha tu ya kusema aweza kushauri.
So so true utakuta mdada macho makavu..Macho huzungumza mengi sana,na muongo hujulikana fasta kwa kumuangalia machoni...Huwa hayadanganyi!
Bora kama ulijinasua maana ungezidi kupata hasara moyoni...yan upo sawa kabisa mana kuna msichana amenifanyia hvyo kwa muda wa mwaka mzma nimempiga chin anajileta na mm nimemchomolea ninae wa ukwel sasa
Naamini saana once in love... Controlling the eyes..... mmmh! yataka moyo. Ndio maana kama you are in love na mtu ambae hajui wamkwepa at all cost... Wahisi atajua. lol
Bora kama ulijinasua maana ungezidi kupata hasara moyoni...
Sure inakera sana....Mwingine unamkaribisha kwenu mkitoka tu anaanza kuwabeza wazazi wako au nyumbani kwenu..live yaani..Mwingine mkiwa pamoja full kumuongelea ex-boifriend na vituko vyake halafu yeye utakuta ndo anatawala maongezi...hahhaahaaa..
Sio hazijathibitishwa..hujakutana nazo!!!
Mwingine unakuta anasifia sana magari ya bei mbaya barabarani wakati mko kwenye GX110 yenu tena ya mkopo alafu hajawahi kuisifia hata siku moja! Dah! Inauma sana!
I've been there sista..i understand u bigtime. Ubaya wa hiyo pia...unajikuta unafanya actions za ajabu bila kujijua kama ni out of love...hahhahaaa:A S embarassed: