Sifa 10 za mwanamke bora wa kuoa

Sifa 10 za mwanamke bora wa kuoa

Hiyo 8 NAPINGA MKUU,,, hivi MWANAMKE muda wowote ukimtaka unampata,,au unaishi nae KINYUMBA BILA KULAZIMISHA NDOA UTAOA?kama UNAISHI NA MWANAMKE KINYUMBA NA HAZUNGUMZII HABARI YA NDOA,,elewa PENGINE HIPENDWI. ,,HANA MALENGO NA WEWE..AU HAYUPO SAWA KICHWANI...

Sent using Jamii Forums mobile app
hasa hapa tunaongelea wale ambao bado hujamuweka ndani....! Ni kwa wale wanaotafuta...
 
No. 9 huo msimamo + awe bikra

Sent using Jamii Forums mobile app
bikra inategemea pia. Wengine bikra walitoa kutokana na matatizo mbalimbali au baadhi ya shughuli. Wapo wengine wana sifa hizo zote lakini sio bikra labda kwasababu walikosea mwanzo na hawataki kukosea tena. Kuna wasichana wakipanga kitu kweli wanashikilia misimamo.
 
Kwa hiyo hapo inamaanisha wanawake husikilizwa zaidi na Mungu? Hebu fafanua zaidi

Sent from my SM-A720F using Tapatalk
haimaanishi kana kwamba husikilizwa sana, ila husikilizwa kwa maana kilio chake kikifika mbinguni kinakuzuia kupata baraka zako. Mwanamke anahesabika kiumbe dhaifu kimaumbile kwa sababu ametoka kwenye ubavu wa mwanaume. Huwezi kupata neema zako kama yeye akimlilia Mungu kwa sababu ya uonevu wako. Kwa hiyo ni vema ukapatane nae kwanza kabla ya kwenda kufanya shughuli zako.
 
haimaanishi kana kwamba husikilizwa sana, ila husikilizwa kwa maana kilio chake kikifika mbinguni kinakuzuia kupata baraka zako. Mwanamke anahesabika kiumbe dhaifu kimaumbile kwa sababu ametoka kwenye ubavu wa mwanaume. Huwezi kupata neema zako kama yeye akimlilia Mungu kwa sababu ya uonevu wako. Kwa hiyo ni vema ukapatane nae kwanza kabla ya kwenda kufanya shughuli zako.
Nadhani mantiki kwenye aya hiyo ni MWILI MMOJA ndio maana inasema maombi yenu (wewe na mkeo). Ni rahisi kwa mwanamke kukutoa kwenye njia kwa sababu ya udhaifu wake na hivyo mkajikuta maombi hayana majibu. Hivyo mwonee huruma kila mara katika mapungufu yake ili muwe na amani na pia uishi naye kwa akili usiwe sababu ya yeye kutumia udhaifu wake na hivyo kumkosesha.

Sent from my SM-A720F using Tapatalk
 
Hiyo namba 4, unategemea mwanamke akuambie alikua malaya kwa muda wa miaka kadhaa alafu uendelee naye sio ?

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom