Sifa 10 za mwanamke bora wa kuoa

Sifa 10 za mwanamke bora wa kuoa


Hayo jamaa kazingua au sio!

Halafu #7 sikuona

Hivi unadhani hizi sifa zote ni za viumbe hai kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂 eti kazingua....

#7 nimeona imesheheni sifa kibao..

Kumpata mwanamke mmoja mwenye hizo sifa zote ni mtihani labda uoe wanawake wanne tofauti alafu uwachezeshe Puzzle 😀
 
kama unaona huwezi kupata qualities hizo....make your daughters meet those qualities (peculiarities). Hapo na wewe utakuwa kiwanda bora kabisa.
Huyu binti angu mwenye mbeleni atakengeuka,unadha i hawa pasua kichwa hawakuzaliwa na wazazi bora??tena wengine ni watoto wa walimu,wachungaji,prominent figures ,mashehe ila wameshindikana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa wote mliokosa hizo sifa,

msikonde, bado tunawapenda sana

badilikeni tuwaoe
 
eti kazingua....

#7 nimeona imesheheni sifa kibao..

Kumpata mwanamke mmoja mwenye hizo sifa zote ni mtihani labda uoe wanawake wanne tofauti alafu uwachezeshe Puzzle

Afadhali umekuwa mkweli

Sifa zote kwa mtu mmoja kwa kweli Ni uongo.
Labda utengeneze wako

Hiyo puzzle hatutaki kuchezewa sisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah unanisikitisha we mvulana.
Kwann hamna vinyaa nyi watoto wa 90...mk...ndu una raha gani jaman.
 
1 PETRO 3:7

Kadhalika ninyi waume, ishini na wake zenu kwa kuwahurumia, mkitambua ya kuwa wao ni dhaifu na hivyo muwape heshima, kwa maana ninyi ni warithi pamoja nao wa neema ya uzima. Fanyeni hivyo ili sala zenu zisizuiliwe.
Kwa hiyo hapo inamaanisha wanawake husikilizwa zaidi na Mungu? Hebu fafanua zaidi

Sent from my SM-A720F using Tapatalk
 
Atakuheshimu, kwahiyo siku aki-miss mazoea yake (ule uhalisia wake wenyewe), atafanya kwa kificho ili usijue, maana hatapenda ujue au ufahamu kwasababu utaumia. Kimbembe kitakuja pale kwa bahati mbaya au nzuri ukajua. Ndio hapo utagundua nini maana ya...behind your back.
Kwajina la Mungu sijakuelewa dingilai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo 8 NAPINGA MKUU,,, hivi MWANAMKE muda wowote ukimtaka unampata,,au unaishi nae KINYUMBA BILA KULAZIMISHA NDOA UTAOA?kama UNAISHI NA MWANAMKE KINYUMBA NA HAZUNGUMZII HABARI YA NDOA,,elewa PENGINE HIPENDWI. ,,HANA MALENGO NA WEWE..AU HAYUPO SAWA KICHWANI...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom