Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Bora umesema ukweliNamba 5 na 9 ni tatizo hilo mzee huwezi kupata wasifa zote hizo 10 ukipata wasifa 1 mpaka 5 oa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora umesema ukweliNamba 5 na 9 ni tatizo hilo mzee huwezi kupata wasifa zote hizo 10 ukipata wasifa 1 mpaka 5 oa tu.
Usahihi upo moyoni mwako, kwasababu mwanaume hupenda na kutamani kwa macho kwanza, kabla ya vingine kuvijua. Ubora unakuja baada ya kukaa nae kwa mda fulani, ndio maana tunashauriwa, no matter what.... subiri kwanza, fahamianeni vizuri, usije ukauziwa mbuzi kwenye gunia. Kanuni za kuishi na mwanamke huwezi kuapply kwa wanawake wote, isipokuwa kwa wale bora. Kuna baadhi ya wanawake kwenye akili zao hawakubaligi kujitoa kwa mwanaume, huona uongo mda wote machoni pao hata ukimlamba miguu. Hasa hawa ni wale walioshuhudia mnyanyaso hasa wa mzazi wake wa kike.hakuna MWANAMKE SAHIHI wa kuoa ila kuna KANUNI SAHIHI za kuishi na mwanamke..mwanamke yeyote anaweza akawa sahihi(wife material ) kama utaishi nae kwa kanuni sahihi..
Hakuna general features za mwanamke wa kuoa..wewe unaweza kumuona anafaa kuolewa ila mwingine akaona hafai...
Kila mtu apambane na mechi zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Atakuheshimu, kwahiyo siku aki-miss mazoea yake (ule uhalisia wake wenyewe), atafanya kwa kificho ili usijue, maana hatapenda ujue au ufahamu kwasababu utaumia. Kimbembe kitakuja pale kwa bahati mbaya au nzuri ukajua. Ndio hapo utagundua nini maana ya...behind your back.
Kwani hujasoma msisitizo wa mtoa mada pale mwishoni? Tafuta wa kufanana nawe mkanajisiane vizuri.Kama hatoi ndogo hafai. Akiwa anableed halafu wewe unataka itakuaje sasa?
Wewe kama una mkosi wako unao..hereni na wig si sababuni mikosi tu.
Suala sio subira bali akili. Wengi hamna akili na ndio msingi huo.Ni kweli kabisa ulichoandika mleta mada.
Halafu wapo watu wenye sifa hizo.
Mungu anawatu wengi sana wakiwemo hao.
Kikubwa ni kuwa na subira ya kutosha.
Tatizo wanaume wengi siku hizi hawana subira.
Sent using Jamii Forums mobile app
wanaume sio hawawezi bali ndio anatambua thamani yako iwapo ukiwa strong. Huwa tunachanganyikiwa sawa tukishindwa kumshawishi msichana na huwa kweli tunamfuatilia mtu mpaka miaka 9 na kweli toka ndani ya moyo, huwa tunaheshimu sana wasichana unique na wagumu na wababe kidogo. Asikudanganye uimara ni silaha.Hiyo #9 wanaume wengi huwa hawawezi
Ni wwnafiki Sana
Na hapo Kwenye mapambo
Sent using Jamii Forums mobile app
Yako mm sijui
Ndio dizaini ile unaambiwa mama, badilika uwe msafi... mumeo asikute nzi ndani, asikanyage michanga...halafu wewe unajibu wanaume hata umpe nini haridhiki, usafi sio sababu, Nampikia nampa kila kitu lakini haridhiki. Lakini hujui kuwa hawezi kuwa na hisia na wewe kisa uchafu ila akitoka nje, shughuli inawaka. Tuache ubishi, wewe fanya utafiti wako tu.Wewe kama una mkosi wako unao..hereni na wig si sababu
Wig +hereni 😍Ndio dizaini ile unaambiwa mama, badilika uwe msafi... mumeo asikute nzi ndani, asikanyage michanga...halafu wewe unajibu wanaume hata umpe nini haridhiki, usafi sio sababu, Nampikia nampa kila kitu lakini haridhiki. Lakini hujui kuwa hawezi kuwa na hisia na wewe kisa uchafu ila akitoka nje, shughuli inawaka. Tuache ubishi, wewe fanya utafiti wako tu.
Ishapitaga
Mpendwa mada umeielewa mno
Nimeielewa Mpendwa na nimeona kama umeongelewa wewe kabisaMpendwa mada umeielewa mno
Mpendwa unaweza kuwa na sifa hizo ila bahati huna mfano mimi sina bahati yaani.Nimeielewa Mpendwa na nimeona kama umeongelewa wewe kabisa