Sifa 10 za mwanamke bora wa kuoa

Sifa 10 za mwanamke bora wa kuoa

Afrika wapo wengi, Wapo wengi tuuu tanzania. Kabla shetani hajawaharibu jipatie wa kwako...
Hata huko Tz pameharibika si unajionea hali ilivyo huko vijiweni vya Instar, Facebook Snapchat nk
 
wanaume sio hawawezi bali ndio anatambua thamani yako iwapo ukiwa strong. Huwa tunachanganyikiwa sawa tukishindwa kumshawishi msichana na huwa kweli tunamfuatilia mtu mpaka miaka 9 na kweli toka ndani ya moyo, huwa tunaheshimu sana wasichana unique na wagumu na wababe kidogo. Asikudanganye uimara ni silaha.
Yaani wanaume acheni uongo.
Mwanaume anakung'ang'aniza sex Hadi unashangaa unamgomea mnaachana
Halafu Leo hii mnasema mwanamke asiyependa sex

Kila siku mnashinda kusifia mawigi ya wadada halafu Leo hii mnasema asiyependa mawigi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
11: wakati mimi naangalia Discovery science, National geographic, supersports, BBC/Aljezeera, Smithsonian channel, Investigative Discovery nk yeye aombe rimoti kuweka soaps, fashion, mziki laini nk
12: mi nikinunua Ford Ranger wildtrac la kutembelea yeye aombe nimnunulie opa, nadia na nyingine kama hizo sio land cruiser mkonga
13: asijue vitu vingi kuliko mimi katika sphere zote za maisha labda alichosomea tu nacho tunapokuja kwenye experience ya kile kitu mtaani natakiwa nimzidi..
14: awe muoga wa vyote vinavyotisha kuanzia wanyama, movie, giza nk sio mnaigiliwa na nyoka ndani mkeo ndo anamuua halafu anakuwa anamshika anatishia kukurushia. Always anitambue kama mlinzi na kiongozi katika kuyakabili haya yanayomtisha

Cc
Likud
Hiyo #14

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtachagua mno mke anelekezwa msingi umfanye awe na tamaa kwako basi akiwa anakutaman muda wote atakutii, atakujeshimu , atakupenda utawmelewesha atafuata nje ya hapo labda malaika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpendwa unaweza kuwa na sifa hizo ila bahati huna mfano mimi sina bahati yaani.
Hii kweli inawezekana Mpendwa ila siunajua kila mwenye kusubiri yu pamoja na Allah!

Muda wako umefika niamini
 
Back
Top Bottom