Sifa 10 mabasi mapya ya shabiby, Dar-Tanga

Sifa 10 mabasi mapya ya shabiby, Dar-Tanga

Ambakucha

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2019
Posts
403
Reaction score
676
Zimebaki wiki mbili kufikia Mei ambapo mabasi mapya ya Shabiby Line yataanza safari mpya toka Dar kwenda Tanga na toka Tanga kwenda Dar.
'Mashine' hizo za kisasa zipo Bandari ya Dar zikikamilishiwa utaratibu tayari kwa kuanza safari huku wananchi wakisubiri kwa hamu kubwa ruti hiyo mpya.
Kwa mwonekano wake mzuri, mabasi hayo yana sifa 10 kuliko mabasi mengine yanayopita njia hiyo.
1. Kila siti kwenye basi itamruhusu abiria kuweza kunyoosha miguu mbele kwa nafasi. Hivyo kuifanya damu itembee vizuri mwilini. Kwa hiyo hakuna abiria atakayefika mwisho wa safari na kulalamika miguu kuvimba au maumivu ya kiuno.
2. Kila abiria ata kontroo runinga yake mwenyewe ambayo ipo mbele ya siti yake bila kuingiliwa na jirani yake huku akitumia 'earphone' yake.
3. Kila abiria atakuwa huru kukontroo AC (Air Condition) eneo lake bila kumkera jirani yake.
4. Kila siti ina socket (tundu) za kuchajia simu.
5. Keria za ndani ya basi ni kubwa ambazo zinaweza kuingiza mabegi yenye eneo kubwa bila kubanana wala mikanda ya mabegi kuning'inia.
5. Buti za mizigo za chini zimetengenezwa kwa mazingira ya kudhibiti vumbi kuingia (sealed). Hivyo, mizigo ya abiria kufika mwisho katika ubora na usafi wake kama ilivyokuwa kabla ya kupakizwa.
6. Kila basi litaondoka muda sahihi ambao utaandikwa kwenye tiketi ya abiria ya kielektroniki.
Kwa sasa kuna mabasi yanapitisha muda wa kuongea hadi saa moja toka muda uliyoandikwa kwenye tiketi husika.
7. Basi linapokuwa safarini si rahisi abiria kujua linatembea kwa sababu sauti ya Injini haingii ndani ya basi mpaka abiria aangalie nje ndipo ajue linatembea. Hii ni kutokana na ubora wa gari lenyewe toka kiwandani.
8. Kila basi lina busati (mazulia) safi ambalo limetandikwa kuanzia mwanzo hadi mwisho. Lengo ni kumfanya abiria ajisikie yupo sehemu salama na sahihi.
9. Mabasi ya Shabiby yatakapokuwa yanaingia hotelini ili abiria ajihudumie kwa chakula na kunyoosha miguu, kama ikitangazwa ni dakika 10 zitatumika basi kweli ni dakika 10. Hakuna abiria atakayenusurika kuachwa au kuachwa eti kwa sababu basi limeondoka hotelini kabla ya dakika 10 kwisha.
10. Kila basi lina sehemu maalum ya kujisitiri abiria likiwa njiani.
 
Zimebaki wiki mbili kufikia Mei ambapo mabasi mapya ya Shabiby Line yataanza safari mpya toka Dar kwenda Tanga na toka Tanga kwenda Dar.
'Mashine' hizo za kisasa zipo Bandari ya Dar zikikamilishiwa utaratibu tayari kwa kuanza safari huku wananchi wakisubiri kwa hamu kubwa ruti hiyo mpya.
Kwa mwonekano wake mzuri, mabasi hayo yana sifa 10 kuliko mabasi mengine yanayopita njia hiyo.
1. Kila siti kwenye basi itamruhusu abiria kuweza kunyoosha miguu mbele kwa nafasi. Hivyo kuifanya damu itembee vizuri mwilini. Kwa hiyo hakuna abiria atakayefika mwisho wa safari na kulalamika miguu kuvimba au maumivu ya kiuno.
2. Kila abiria ata kontroo runinga yake mwenyewe ambayo ipo mbele ya siti yake bila kuingiliwa na jirani yake huku akitumia 'earphone' yake.
3. Kila abiria atakuwa huru kukontroo AC (Air Condition) eneo lake bila kumkera jirani yake.
4. Kila siti ina socket (tundu) za kuchajia simu.
5. Keria za ndani ya basi ni kubwa ambazo zinaweza kuingiza mabegi yenye eneo kubwa bila kubanana wala mikanda ya mabegi kuning'inia.
5. Buti za mizigo za chini zimetengenezwa kwa mazingira ya kudhibiti vumbi kuingia (sealed). Hivyo, mizigo ya abiria kufika mwisho katika ubora na usafi wake kama ilivyokuwa kabla ya kupakizwa.
6. Kila basi litaondoka muda sahihi ambao utaandikwa kwenye tiketi ya abiria ya kielektroniki.
Kwa sasa kuna mabasi yanapitisha muda wa kuongea hadi saa moja toka muda uliyoandikwa kwenye tiketi husika.
7. Basi linapokuwa safarini si rahisi abiria kujua linatembea kwa sababu sauti ya Injini haingii ndani ya basi mpaka abiria aangalie nje ndipo ajue linatembea. Hii ni kutokana na ubora wa gari lenyewe toka kiwandani.
8. Kila basi lina busati (mazulia) safi ambalo limetandikwa kuanzia mwanzo hadi mwisho. Lengo ni kumfanya abiria ajisikie yupo sehemu salama na sahihi.
9. Mabasi ya Shabiby yatakapokuwa yanaingia hotelini ili abiria ajihudumie kwa chakula na kunyoosha miguu, kama ikitangazwa ni dakika 10 zitatumika basi kweli ni dakika 10. Hakuna abiria atakayenusurika kuachwa au kuachwa eti kwa sababu basi limeondoka hotelini kabla ya dakika 10 kwisha.
10. Kila basi lina sehemu maalum ya kujisitiri abiria likiwa njiani.
Safii!, nitawazingatia hawa jamaa
 
Zimebaki wiki mbili kufikia Mei ambapo mabasi mapya ya Shabiby Line yataanza safari mpya toka Dar kwenda Tanga na toka Tanga kwenda Dar.
'Mashine' hizo za kisasa zipo Bandari ya Dar zikikamilishiwa utaratibu tayari kwa kuanza safari huku wananchi wakisubiri kwa hamu kubwa ruti hiyo mpya.
Kwa mwonekano wake mzuri, mabasi hayo yana sifa 10 kuliko mabasi mengine yanayopita njia hiyo.
1. Kila siti kwenye basi itamruhusu abiria kuweza kunyoosha miguu mbele kwa nafasi. Hivyo kuifanya damu itembee vizuri mwilini. Kwa hiyo hakuna abiria atakayefika mwisho wa safari na kulalamika miguu kuvimba au maumivu ya kiuno.
2. Kila abiria ata kontroo runinga yake mwenyewe ambayo ipo mbele ya siti yake bila kuingiliwa na jirani yake huku akitumia 'earphone' yake.
3. Kila abiria atakuwa huru kukontroo AC (Air Condition) eneo lake bila kumkera jirani yake.
4. Kila siti ina socket (tundu) za kuchajia simu.
5. Keria za ndani ya basi ni kubwa ambazo zinaweza kuingiza mabegi yenye eneo kubwa bila kubanana wala mikanda ya mabegi kuning'inia.
5. Buti za mizigo za chini zimetengenezwa kwa mazingira ya kudhibiti vumbi kuingia (sealed). Hivyo, mizigo ya abiria kufika mwisho katika ubora na usafi wake kama ilivyokuwa kabla ya kupakizwa.
6. Kila basi litaondoka muda sahihi ambao utaandikwa kwenye tiketi ya abiria ya kielektroniki.
Kwa sasa kuna mabasi yanapitisha muda wa kuongea hadi saa moja toka muda uliyoandikwa kwenye tiketi husika.
7. Basi linapokuwa safarini si rahisi abiria kujua linatembea kwa sababu sauti ya Injini haingii ndani ya basi mpaka abiria aangalie nje ndipo ajue linatembea. Hii ni kutokana na ubora wa gari lenyewe toka kiwandani.
8. Kila basi lina busati (mazulia) safi ambalo limetandikwa kuanzia mwanzo hadi mwisho. Lengo ni kumfanya abiria ajisikie yupo sehemu salama na sahihi.
9. Mabasi ya Shabiby yatakapokuwa yanaingia hotelini ili abiria ajihudumie kwa chakula na kunyoosha miguu, kama ikitangazwa ni dakika 10 zitatumika basi kweli ni dakika 10. Hakuna abiria atakayenusurika kuachwa au kuachwa eti kwa sababu basi limeondoka hotelini kabla ya dakika 10 kwisha.
10. Kila basi lina sehemu maalum ya kujisitiri abiria likiwa njiani.
Picha huna?
 
Zimebaki wiki mbili kufikia Mei ambapo mabasi mapya ya Shabiby Line yataanza safari mpya toka Dar kwenda Tanga na toka Tanga kwenda Dar.
'Mashine' hizo za kisasa zipo Bandari ya Dar zikikamilishiwa utaratibu tayari kwa kuanza safari huku wananchi wakisubiri kwa hamu kubwa ruti hiyo mpya.
Kwa mwonekano wake mzuri, mabasi hayo yana sifa 10 kuliko mabasi mengine yanayopita njia hiyo.
1. Kila siti kwenye basi itamruhusu abiria kuweza kunyoosha miguu mbele kwa nafasi. Hivyo kuifanya damu itembee vizuri mwilini. Kwa hiyo hakuna abiria atakayefika mwisho wa safari na kulalamika miguu kuvimba au maumivu ya kiuno.
2. Kila abiria ata kontroo runinga yake mwenyewe ambayo ipo mbele ya siti yake bila kuingiliwa na jirani yake huku akitumia 'earphone' yake.
3. Kila abiria atakuwa huru kukontroo AC (Air Condition) eneo lake bila kumkera jirani yake.
4. Kila siti ina socket (tundu) za kuchajia simu.
5. Keria za ndani ya basi ni kubwa ambazo zinaweza kuingiza mabegi yenye eneo kubwa bila kubanana wala mikanda ya mabegi kuning'inia.
5. Buti za mizigo za chini zimetengenezwa kwa mazingira ya kudhibiti vumbi kuingia (sealed). Hivyo, mizigo ya abiria kufika mwisho katika ubora na usafi wake kama ilivyokuwa kabla ya kupakizwa.
6. Kila basi litaondoka muda sahihi ambao utaandikwa kwenye tiketi ya abiria ya kielektroniki.
Kwa sasa kuna mabasi yanapitisha muda wa kuongea hadi saa moja toka muda uliyoandikwa kwenye tiketi husika.
7. Basi linapokuwa safarini si rahisi abiria kujua linatembea kwa sababu sauti ya Injini haingii ndani ya basi mpaka abiria aangalie nje ndipo ajue linatembea. Hii ni kutokana na ubora wa gari lenyewe toka kiwandani.
8. Kila basi lina busati (mazulia) safi ambalo limetandikwa kuanzia mwanzo hadi mwisho. Lengo ni kumfanya abiria ajisikie yupo sehemu salama na sahihi.
9. Mabasi ya Shabiby yatakapokuwa yanaingia hotelini ili abiria ajihudumie kwa chakula na kunyoosha miguu, kama ikitangazwa ni dakika 10 zitatumika basi kweli ni dakika 10. Hakuna abiria atakayenusurika kuachwa au kuachwa eti kwa sababu basi limeondoka hotelini kabla ya dakika 10 kwisha.
10. Kila basi lina sehemu maalum ya kujisitiri abiria likiwa njiani.
Hii ruti fupi sana naona magari ya kichina yanaifurahia sana
 
Tanga imevamiwa
1.Abood
2.Blatus makundi (BM)
3.Shabiby
Kuna nini Tanga mbona wote mmeanza ruti mpya
"Madhara" ya SGR. Basi nyingi kuliko routes. Sasa itakapofika Mwanza itakuwa balaa. Wenye mabasi waanze kutafuta biashara mbadala.

Sielewi mantiki ya kuanza kujenga kipande cha pili cha SGR Mwanza-Isaka badala ya kuendelezea kutoka Makutopora - Tabora. Wakimaliza kipande hicho hakitaanza kuzalisha hela kwani hakijaungana na cha kutoka Dar.
 
"Madhara" ya SGR. Basi nyingi kuliko routes. Sasa itakapofika Mwanza itakuwa balaa. Wenye mabasi waanze kutafuta biashara mbadala.

Sielewi mantiki ya kuanza kujenga kipande cha pili cha SGR Mwanza-Isaka badala ya kuendelezea kutoka Makutopora - Tabora. Wakimaliza kipande hicho hakitaanza kuzalisha hela kwani hakijaungana na cha kutoka Dar.
Mabasi yaletwe kusini, uhitaji ni mkubwa
 
Zimebaki wiki mbili kufikia Mei ambapo mabasi mapya ya Shabiby Line yataanza safari mpya toka Dar kwenda Tanga na toka Tanga kwenda Dar.
'Mashine' hizo za kisasa zipo Bandari ya Dar zikikamilishiwa utaratibu tayari kwa kuanza safari huku wananchi wakisubiri kwa hamu kubwa ruti hiyo mpya.
Kwa mwonekano wake mzuri, mabasi hayo yana sifa 10 kuliko mabasi mengine yanayopita njia hiyo.
1. Kila siti kwenye basi itamruhusu abiria kuweza kunyoosha miguu mbele kwa nafasi. Hivyo kuifanya damu itembee vizuri mwilini. Kwa hiyo hakuna abiria atakayefika mwisho wa safari na kulalamika miguu kuvimba au maumivu ya kiuno.
2. Kila abiria ata kontroo runinga yake mwenyewe ambayo ipo mbele ya siti yake bila kuingiliwa na jirani yake huku akitumia 'earphone' yake.
3. Kila abiria atakuwa huru kukontroo AC (Air Condition) eneo lake bila kumkera jirani yake.
4. Kila siti ina socket (tundu) za kuchajia simu.
5. Keria za ndani ya basi ni kubwa ambazo zinaweza kuingiza mabegi yenye eneo kubwa bila kubanana wala mikanda ya mabegi kuning'inia.
5. Buti za mizigo za chini zimetengenezwa kwa mazingira ya kudhibiti vumbi kuingia (sealed). Hivyo, mizigo ya abiria kufika mwisho katika ubora na usafi wake kama ilivyokuwa kabla ya kupakizwa.
6. Kila basi litaondoka muda sahihi ambao utaandikwa kwenye tiketi ya abiria ya kielektroniki.
Kwa sasa kuna mabasi yanapitisha muda wa kuongea hadi saa moja toka muda uliyoandikwa kwenye tiketi husika.
7. Basi linapokuwa safarini si rahisi abiria kujua linatembea kwa sababu sauti ya Injini haingii ndani ya basi mpaka abiria aangalie nje ndipo ajue linatembea. Hii ni kutokana na ubora wa gari lenyewe toka kiwandani.
8. Kila basi lina busati (mazulia) safi ambalo limetandikwa kuanzia mwanzo hadi mwisho. Lengo ni kumfanya abiria ajisikie yupo sehemu salama na sahihi.
9. Mabasi ya Shabiby yatakapokuwa yanaingia hotelini ili abiria ajihudumie kwa chakula na kunyoosha miguu, kama ikitangazwa ni dakika 10 zitatumika basi kweli ni dakika 10. Hakuna abiria atakayenusurika kuachwa au kuachwa eti kwa sababu basi limeondoka hotelini kabla ya dakika 10 kwisha.
10. Kila basi lina sehemu maalum ya kujisitiri abiria likiwa njiani.
Ni wakati sasa hawa matajiri wetu wafikirie kununua ndege kutoka china e.g. comac 90 ambayo inauzwa rahisi tu. Abiria tumechoka na ajali za mabasi yenu .
 
Back
Top Bottom