Zimebaki wiki mbili kufikia Mei ambapo mabasi mapya ya Shabiby Line yataanza safari mpya toka Dar kwenda Tanga na toka Tanga kwenda Dar.
'Mashine' hizo za kisasa zipo Bandari ya Dar zikikamilishiwa utaratibu tayari kwa kuanza safari huku wananchi wakisubiri kwa hamu kubwa ruti hiyo mpya.
Kwa mwonekano wake mzuri, mabasi hayo yana sifa 10 kuliko mabasi mengine yanayopita njia hiyo.
1. Kila siti kwenye basi itamruhusu abiria kuweza kunyoosha miguu mbele kwa nafasi. Hivyo kuifanya damu itembee vizuri mwilini. Kwa hiyo hakuna abiria atakayefika mwisho wa safari na kulalamika miguu kuvimba au maumivu ya kiuno.
2. Kila abiria ata kontroo runinga yake mwenyewe ambayo ipo mbele ya siti yake bila kuingiliwa na jirani yake huku akitumia 'earphone' yake.
3. Kila abiria atakuwa huru kukontroo AC (Air Condition) eneo lake bila kumkera jirani yake.
4. Kila siti ina socket (tundu) za kuchajia simu.
5. Keria za ndani ya basi ni kubwa ambazo zinaweza kuingiza mabegi yenye eneo kubwa bila kubanana wala mikanda ya mabegi kuning'inia.
5. Buti za mizigo za chini zimetengenezwa kwa mazingira ya kudhibiti vumbi kuingia (sealed). Hivyo, mizigo ya abiria kufika mwisho katika ubora na usafi wake kama ilivyokuwa kabla ya kupakizwa.
6. Kila basi litaondoka muda sahihi ambao utaandikwa kwenye tiketi ya abiria ya kielektroniki.
Kwa sasa kuna mabasi yanapitisha muda wa kuongea hadi saa moja toka muda uliyoandikwa kwenye tiketi husika.
7. Basi linapokuwa safarini si rahisi abiria kujua linatembea kwa sababu sauti ya Injini haingii ndani ya basi mpaka abiria aangalie nje ndipo ajue linatembea. Hii ni kutokana na ubora wa gari lenyewe toka kiwandani.
8. Kila basi lina busati (mazulia) safi ambalo limetandikwa kuanzia mwanzo hadi mwisho. Lengo ni kumfanya abiria ajisikie yupo sehemu salama na sahihi.
9. Mabasi ya Shabiby yatakapokuwa yanaingia hotelini ili abiria ajihudumie kwa chakula na kunyoosha miguu, kama ikitangazwa ni dakika 10 zitatumika basi kweli ni dakika 10. Hakuna abiria atakayenusurika kuachwa au kuachwa eti kwa sababu basi limeondoka hotelini kabla ya dakika 10 kwisha.
10. Kila basi lina sehemu maalum ya kujisitiri abiria likiwa njiani.
'Mashine' hizo za kisasa zipo Bandari ya Dar zikikamilishiwa utaratibu tayari kwa kuanza safari huku wananchi wakisubiri kwa hamu kubwa ruti hiyo mpya.
Kwa mwonekano wake mzuri, mabasi hayo yana sifa 10 kuliko mabasi mengine yanayopita njia hiyo.
1. Kila siti kwenye basi itamruhusu abiria kuweza kunyoosha miguu mbele kwa nafasi. Hivyo kuifanya damu itembee vizuri mwilini. Kwa hiyo hakuna abiria atakayefika mwisho wa safari na kulalamika miguu kuvimba au maumivu ya kiuno.
2. Kila abiria ata kontroo runinga yake mwenyewe ambayo ipo mbele ya siti yake bila kuingiliwa na jirani yake huku akitumia 'earphone' yake.
3. Kila abiria atakuwa huru kukontroo AC (Air Condition) eneo lake bila kumkera jirani yake.
4. Kila siti ina socket (tundu) za kuchajia simu.
5. Keria za ndani ya basi ni kubwa ambazo zinaweza kuingiza mabegi yenye eneo kubwa bila kubanana wala mikanda ya mabegi kuning'inia.
5. Buti za mizigo za chini zimetengenezwa kwa mazingira ya kudhibiti vumbi kuingia (sealed). Hivyo, mizigo ya abiria kufika mwisho katika ubora na usafi wake kama ilivyokuwa kabla ya kupakizwa.
6. Kila basi litaondoka muda sahihi ambao utaandikwa kwenye tiketi ya abiria ya kielektroniki.
Kwa sasa kuna mabasi yanapitisha muda wa kuongea hadi saa moja toka muda uliyoandikwa kwenye tiketi husika.
7. Basi linapokuwa safarini si rahisi abiria kujua linatembea kwa sababu sauti ya Injini haingii ndani ya basi mpaka abiria aangalie nje ndipo ajue linatembea. Hii ni kutokana na ubora wa gari lenyewe toka kiwandani.
8. Kila basi lina busati (mazulia) safi ambalo limetandikwa kuanzia mwanzo hadi mwisho. Lengo ni kumfanya abiria ajisikie yupo sehemu salama na sahihi.
9. Mabasi ya Shabiby yatakapokuwa yanaingia hotelini ili abiria ajihudumie kwa chakula na kunyoosha miguu, kama ikitangazwa ni dakika 10 zitatumika basi kweli ni dakika 10. Hakuna abiria atakayenusurika kuachwa au kuachwa eti kwa sababu basi limeondoka hotelini kabla ya dakika 10 kwisha.
10. Kila basi lina sehemu maalum ya kujisitiri abiria likiwa njiani.