Munkari JF-Expert Member Feb 9, 2013 8,084 4,351 Jun 28, 2014 #1 Huku kwetu ukiskia mtu anaenda mjini ujue Kariakoo hiyo kwa wahindi!!........ Kweeli mi wakupotea mjini?? Nimesikitika haki ya nani!!!
Huku kwetu ukiskia mtu anaenda mjini ujue Kariakoo hiyo kwa wahindi!!........ Kweeli mi wakupotea mjini?? Nimesikitika haki ya nani!!!
Khantwe JF-Expert Member Dec 20, 2012 59,410 119,111 Jun 28, 2014 #2 Hahahah..pole Munkari Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Mamndenyi JF-Expert Member Apr 11, 2011 40,585 52,257 Jun 28, 2014 #3 Mmh hivi ni wewe wamekuonyesha itv kwamba anatafuta ndugu zake? Uliva tshet ya mistari mistari.
Munkari JF-Expert Member Feb 9, 2013 8,084 4,351 Jun 28, 2014 Thread starter #4 Khantwe said: Hahahah..pole Munkari Click to expand... dah asante jamani! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Munkari JF-Expert Member Feb 9, 2013 8,084 4,351 Jun 28, 2014 Thread starter #5 Mamndenyi said: Mmh hivi ni wewe wamekuonyesha itv kwamba anatafuta ndugu zake? Uliva tshet ya mistari mistari. Click to expand... hahahaha!! Kaja hapa sijui ndo nani huyu wa itv ananihoji,nimemwambia asintangaze!! Nnawaswasi hapa na jijiletu !!
Mamndenyi said: Mmh hivi ni wewe wamekuonyesha itv kwamba anatafuta ndugu zake? Uliva tshet ya mistari mistari. Click to expand... hahahaha!! Kaja hapa sijui ndo nani huyu wa itv ananihoji,nimemwambia asintangaze!! Nnawaswasi hapa na jijiletu !!
ROBERT MICHAEL JF-Expert Member Oct 23, 2012 5,056 2,850 Jun 29, 2014 #7 Munkari said: Huku kwetu ukiskia mtu anaenda mjini ujue Kariakoo hiyo kwa wahindi!!........ Kweeli mi wakupotea mjini?? Nimesikitika haki ya nani!!! Click to expand... Samahani kidogo mimi mgeni hapa jijini, napenda kuuliza hivi mjini ni posta au kariakoo.Asanteni kwa kunielewa.
Munkari said: Huku kwetu ukiskia mtu anaenda mjini ujue Kariakoo hiyo kwa wahindi!!........ Kweeli mi wakupotea mjini?? Nimesikitika haki ya nani!!! Click to expand... Samahani kidogo mimi mgeni hapa jijini, napenda kuuliza hivi mjini ni posta au kariakoo.Asanteni kwa kunielewa.