Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,901
- 37,739
Ha ha haaaa,wataenda ili wapokee posho!
Last edited by a moderator:
Ha ha haaaa,wataenda ili wapokee posho!
hahahahahahahahahahahahahaha hii ni kali ya mwaka.Hakuna kazi ngumu kama kwenda kuuza scraper kutoka tz kwenda japan.nakupongeza kwa kuwa na jicho la tatu.
Wewe unataka aseme Nape ndio Uamini? Mbona kinana ahajawahi kusema yeye ni Mwizi wa meno ya tembo?Vuta Nikuvute....Stori zako zimekaa ki-unspecific unspecific....ni kama vile unataka kuwaaminisha watu kwamba wewe ni kweli upo kwenye inner cycle ya mtaa wa Lumumba.....habari zako mara nyingi ni za "kusikia" na kila mmoja wetu anaweza akawa anatunga kama ufanyavyo......Yaani nafananisha na wale watu anayekwambia "Mnakaa nyumba ya bati","kwenu mwapikia sufuria","mara nyingi mnakula ugali".....
Kila mtu anaelewa kwamba katika Uchaguzi wowote kila chama kinachodhani kina uwezekano wa kushinda,kitatuma kikosi kazi...hivyo hiyo sio habari ya kusema kwamba ni kitu ambacho lazima mtu awe kwenye inner cycle kutambu hilo.
Mkuu, Hata mimi ninamshangaa sana huyu VUTA-NKUVUTE.Vuta Nikuvute....Stori zako zimekaa ki-unspecific unspecific....ni kama vile unataka kuwaaminisha watu kwamba wewe ni kweli upo kwenye inner cycle ya mtaa wa Lumumba.....habari zako mara nyingi ni za "kusikia" na kila mmoja wetu anaweza akawa anatunga kama ufanyavyo......Yaani nafananisha na wale watu anayekwambia "Mnakaa nyumba ya bati","kwenu mwapikia sufuria","mara nyingi mnakula ugali".....
Kila mtu anaelewa kwamba katika Uchaguzi wowote kila chama kinachodhani kina uwezekano wa kushinda,kitatuma kikosi kazi...hivyo hiyo sio habari ya kusema kwamba ni kitu ambacho lazima mtu awe kwenye inner cycle kutambu hilo.
Vuta Nikuvute....Stori zako zimekaa ki-unspecific unspecific....ni kama vile unataka kuwaaminisha watu kwamba wewe ni kweli upo kwenye inner cycle ya mtaa wa Lumumba.....habari zako mara nyingi ni za "kusikia" na kila mmoja wetu anaweza akawa anatunga kama ufanyavyo......Yaani nafananisha na wale watu anayekwambia "Mnakaa nyumba ya bati","kwenu mwapikia sufuria","mara nyingi mnakula ugali".....
Kila mtu anaelewa kwamba katika Uchaguzi wowote kila chama kinachodhani kina uwezekano wa kushinda,kitatuma kikosi kazi...hivyo hiyo sio habari ya kusema kwamba ni kitu ambacho lazima mtu awe kwenye inner cycle kutambu hilo.