Sielewi cha kufanya...!

Sielewi cha kufanya...!

cha kwanza ili ndoa idumu ni mapenzi ya kweli baina ya wanandoa..kama hauna hayo wala usijisumbue kuolewa...usije ukatujazia seva bure humu baada ya kuolewa..
 
pole sana sana...kwa ujumla..usiwe na haraka ya kuolewa kisa umechelewa....alafu increase ur realationship cycle na uache mapozi.....nakuona kama una cycle...unafahamiana na watu wachache sana kwenye maisha yako na pia mapozi....ndo maana umekuwa na options kidogo sana....na in other words namaanisha pia hao watu wa zamani achana nao...fikiria watu wapya
 
If u want to be in a happy marrige, usiolewe na mtu asiyekubalika na wazazi wako;
I have seen people wanajidai wanaweka mapenzi mbele wakipata shida wanashindwa kurudi kwa wazazi

In short, we tulia
ukikosa mtu nicheck PM kuna bosi wangu domo zege sana nitakuunganisha

Eeh??? Umuunganishie?
 
Hellow mzabzab hujaacha tu kugegeda mabinti wa watu???learn about karma my friend isije ikakurudia..!!!

nyie mnao endekeza hizo phylosophy za kidhungu za karma enedeleeni. ila pole dear. listen no need to push the panick buttom. kuolewa kupo tuu and as long as u a wife material lady then am confident utapata mwanaume ila huyo achana nae.
 
Shixi889!? loh! hili jina la ki-hong kong sister? duh...!! kidogo niteme ulimi!
 
Last edited by a moderator:
Sio vibaya kabisa Excel ila nimeshtuka kuunganishwa, hapo hajamsaidia ila anamuongezea mawazo mhusika!

priti, mbona kuna watu kibao tu wanapata wachumba ama wapenzi kupitia sosho networks...

mi naona Shixi889 (hii id inanishinda kuitamka aisee!!) achangamkie dili tu ili mradi tu akidhi vigezo anavyohitaji...

asipompenda, basi awahi kwingine...!
 
Last edited by a moderator:
priti, mbona kuna watu kibao tu wanapata wachumba ama wapenzi kupitia sosho networks...

mi naona Shixi889 (hii id inanishinda kuitamka aisee!!) achangamkie dili tu ili mradi tu akidhi vigezo anavyohitaji...

asipompenda, basi awahi kwingine...!

Social networks zinawapatiamo watu wenza sina ubishi na hilo, ila sasa huyo tayari ana watu ambao hajawapatia ufumbuzi ghafla aunganishwe na mwingine, huoni atazidi kuchanganyikiwa? Excel?
 
Last edited by a moderator:
Social networks zinawapatiamo watu wenza sina ubishi na hilo, ila sasa huyo tayari ana watu ambao hajawapatia ufumbuzi ghafla aunganishwe na mwingine, huoni atazidi kuchanganyikiwa? Excel?

priti... mapenzi kweli kizungu zungu....!! hivi waoaji wamehamia wapi aisee? ngoja Shixi889 aje na mimi nimuunganishe!! lol!

seriously speaking..... mi namshauri tu atulie kwanza na huyo jama wake wa toka utotoni! nadhani jamaa atakuwa na ukweli juu ya anachokisema!
 
Last edited by a moderator:
priti... mapenzi kweli kizungu zungu....!! hivi waoaji wamehamia wapi aisee? ngoja Shixi889 aje na mimi nimuunganishe!! lol!

seriously speaking..... mi namshauri tu atulie kwanza na huyo jama wake wa toka utotoni! nadhani jamaa atakuwa na ukweli juu ya anachokisema!

Shida ni kwamba huyo wa utotoni hajamkaa moyoni, baba na mama hawamkubali ila anahamu ya kuolewa,, ahh kizungu zungu hiki aisee...., ninaempenda hanipendi, nisiempenda ameniganda kama luba!
 
Last edited by a moderator:
nakungoja usie na jina..
Nimeghairi kurudi baadae, ngoja niteme yangu ya moyoni kama ifuatavyo:

Mkuu, maisha yako yapo mikononi mwako, wewe ni naodha wa maisha yako, ukiamua kupeleka chombo mrama (sijui ndo ivi, Excel utanisaidia) its up to you.
l believe wewe ni mtu mzima, unajua lipi baya na lipi zuri, wazazi wako kwa sasa ni watu wa kukupa ushauri na si kukuchagulia la kufanya....
LISTEN TO YOUR HEART. Kama unadhani kuna troubles DON'T na kama unadhani yo safe, ALL THE BEST.
 
Nimeghairi kurudi baadae, ngoja niteme yangu ya moyoni kama ifuatavyo:

Mkuu, maisha yako yapo mikononi mwako, wewe ni naodha wa maisha yako, ukiamua kupeleka chombo mrama (sijui ndo ivi, Excel utanisaidia) its up to you.
l believe wewe ni mtu mzima, unajua lipi baya na lipi zuri, wazazi wako kwa sasa ni watu wa kukupa ushauri na si kukuchagulia la kufanya....
LISTEN TO YOUR HEART. Kama unadhani kuna troubles DON'T na kama unadhani yo safe, ALL THE BEST.

aisee umeongea vizuri sana usie na jina!! kwanini sasa ulikuwa unaogopa bana?

ngoja nikutengee kiti chako maalum kabisa kwenye bunge langu binafsi! karibu sana!
 
Shida ni kwamba huyo wa utotoni hajamkaa moyoni, baba na mama hawamkubali ila anahamu ya kuolewa,, ahh kizungu zungu hiki aisee...., ninaempenda hanipendi, nisiempenda ameniganda kama luba!

namgoja Shixi889 kwa hamu sana aniambie ana miaka mingapi ss mpaka ahamasike kuolewa fasta hivyo!!!

halafu aniambie anamtaka nani hasa!! hapo sasa itabidi apende kwa lazima!

priti nikuulize swali binafsi, ww umeolewa ama la?!! jibu plz!
 
Last edited by a moderator:
namgoja Shixi889 kwa hamu sana aniambie ana miaka mingapi ss mpaka ahamasike kuolewa fasta hivyo!!!

halafu aniambie anamtaka nani hasa!! hapo sasa itabidi apende kwa lazima!

priti nikuulize swali binafsi, ww umeolewa ama la?!! jibu plz!

Hahahahaa haya na mm namsubiri, mimi sijaolewa Excel
 
Last edited by a moderator:
aisee umeongea vizuri sana usie na jina!! kwanini sasa ulikuwa unaogopa bana?

ngoja nikutengee kiti chako maalum kabisa kwenye bunge langu binafsi! karibu sana!

Nilihisi uvivu tu.... unajua nilikua sina kazi, sasa kwakua nimepata ubunge, kila kitu kitakua vema ila niambie posho sh ngap kabisa.....
 
Back
Top Bottom