Sielewi cha kufanya...!

Sielewi cha kufanya...!

Morning Excel!!!! unajua siku hazigandi zakimbia haswa ila nko kati ya 30-35 soo nakuachia mwenyewe hapo ungamue, kwenye ninae mtaka hasa kwanza awe God fearing man na mengneyo....!!!!

nakutakia yote mema shixi!

kama inawezekana mamii, mshike tu huyo rafiki yako wa toka utoto, no way, you got to love him now!
 
waonaje ukwashirikisha wazazi, tena wakakutafutia wanaume watatu kisha ukachagua mmoja, maana atakuwa ni chaguo la wazazi nawe utajifunza kumpenda baada ya wazazi wako kumpenda....

hii kitu mnaaandika tu lakini basically ni ngumu sana
 
hii kitu mnaaandika tu lakini basically ni ngumu sana
kweli ni ngumu lakini uangalie mtu anachotaka sasa yeye anaona jepesi kwake na anaandika tu, sasa ili umfanye afikirie na aone ugumu wake ndio hivyo awasiliane na wazazi wake....
 
Dr.Mo well said ni kama vile u know me...!!! kidogo nishtuke ...!!!!! but sina pozi kabsa thou ni kweli nafahamiana na watu wachache sjui ni makuzi au ndo jinsi nlivyo tu and thanks again kwa ushauri wako ntajitahidi sana kuufanyia kazi.[/QUO

usijali mamy...tulia tu jipange upya..anaza kfanya maisha ya aina nyingine kidogo...usikae ndani sana..buni safari na mambo mengine ya kufanya...badilisha aina ya watu unao fahamiana nao....weka time limit kwenye curve ya maisha yako..na usiwe na haraka sana.ili uweze kufanya maamuzi sahihi ..yatakayo kupa maisha matamu
 
Back
Top Bottom