SIDO ifumuliwe awamu hii ya Viwanda

Shirika la Viwanda Vidogo vidogo (SIDO) lifumuliwe ili liweze kuundwa upyaikiwezekana lipate Boss msomi wa ngazi ya juuu kabisa, maana ni kama halipo halisiskiki kwa vitu vya maana zaidi ya kuoga mikate ya kumimina. Na wafanyakazi wanalipwa mishahara. Hakuna ubunifu kabisa.
Umeshuri vema.

Ila tatizo la hii nchi kwa kwa sasa ni kipaumbele.

Tumetoka kwenye lengo kuu la kipaumbele cha NCHI YA VIWANDA na sasa tuna kipaumbele cha KUNYIMA UHURU WA KUTOA MAONI NA UTUMBUAJI USIO NA TIJA.
 
SIDO Mungu anawaona miaka kibao bado mnatengeneza Batik tu daah!
 
Awamu ya viwanda!? Nyie waimba mapambio mbona mnajitoa akili sana? Unaweza taja hata viwanda 10 vya awamu hii?
Shirika la Viwanda Vidogo vidogo (SIDO) lifumuliwe ili liweze kuundwa upyaikiwezekana lipate Boss msomi wa ngazi ya juuu kabisa, maana ni kama halipo halisiskiki kwa vitu vya maana zaidi ya kuoka mikate ya kumimina na batiki. Na wafanyakazi wanalipwa mishahara. Hakuna ubunifu kabisa.
Jifunzeni Rwanda
 
Ipo Na wafanyakaz kibao. Na wao eti wanadai nyongeza ya mshahara.
Haaahaaa. Tunapeana rewards hata kama hakuna tunachofanya.
Hivi Tirdo na Camatech nao wanafanya nini? Kwanini wasiwe sehemu ya Sido? Hakuna watu wanaoweza kusukuma mambo yakaenda huko kwenye hizo institutions?
 
Back
Top Bottom