Marcostilone
JF-Expert Member
- Jun 25, 2023
- 6,165
- 14,962
Ni kweli, umewaza mbali Twin, lakini ni rahisi sana kugundua, wewe angalia tu bajeti na mifumo ya nchi, wengi huwa wanapenda sana kuonekana mbele ya camera wakiwa wanatoa hiyo misaada wakati huo huo ukiangalia upande wa taasisi utagundua mapungufu makubwa kama siyo makosa kabisa.Hapa sasa yaweza kua ni propaganda inatengenezwa kweli kuhadaa umma au kweli ni mtoaji
Sasa namna ya kutofautisha kama huyu anafata script
Au anatoa hadharani kama kua motivated kwa wengine inabaki kwa
Anaetazama ndiyo atachagua upande kukingana na uelewa wake
Lakini pia angalia ni jinsi gani huyo kiongozi anavyobeba ukosoaji, hii ndiyo njia nyepesi zaidi kugundua.