Giovanna Upunda
Senior Member
- Aug 11, 2024
- 105
- 48
Hali ya wasiwasi miongoni mwa wananchi, wapenzi, na wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) imekuwa ni jambo la kutia wasiwasi na kujadiliwa sana katika kisiasa nchini Tanzania.
Wasiwasi huo unajitokeza kutokana na matukio ya ukandamizaji, vurugu dhidi ya viongozi wake, na matendo ya kihalifu dhidi ya wanachama wa chama hicho.
Matukio ya fujo na vurugu dhidi ya viongozi wa Chadema na wanachama wao yamekuwa yakitokea mara kwa mara ambapo Vitendo hivi vimekuwa vikichukuliwa na wanachama wa Chadema kama ishara za ukandamizaji wa kisiasa unaofanywa na Viongozi wa Chadema baada ya kudaiwa kupigwa kwa katibu Mwenezi wa (BAWACHA) Bi. Sigrada Mligo na Mlinzi wa Makamu Mwenyekiti wa Chadema John Heche.
Katika video clip nyingine ikimuonyesha Dada na mwanachama wa chadema anaelalamikia uhuni unaofanywa na Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu kwa kuajiri kikundi cha wahuni kwa kuwashambulia manachama wa Chadema Pamoja na viongozi wengine wanaokwenda kinyume matakwa ya Mwenyekiti huyo.
Wasiwasi huo unajitokeza kutokana na matukio ya ukandamizaji, vurugu dhidi ya viongozi wake, na matendo ya kihalifu dhidi ya wanachama wa chama hicho.
Matukio ya fujo na vurugu dhidi ya viongozi wa Chadema na wanachama wao yamekuwa yakitokea mara kwa mara ambapo Vitendo hivi vimekuwa vikichukuliwa na wanachama wa Chadema kama ishara za ukandamizaji wa kisiasa unaofanywa na Viongozi wa Chadema baada ya kudaiwa kupigwa kwa katibu Mwenezi wa (BAWACHA) Bi. Sigrada Mligo na Mlinzi wa Makamu Mwenyekiti wa Chadema John Heche.
Katika video clip nyingine ikimuonyesha Dada na mwanachama wa chadema anaelalamikia uhuni unaofanywa na Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu kwa kuajiri kikundi cha wahuni kwa kuwashambulia manachama wa Chadema Pamoja na viongozi wengine wanaokwenda kinyume matakwa ya Mwenyekiti huyo.