Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,277
- 105,475
Mose,
Maandiko marefu sana yanapunguza utamu na ladha ya kuyasoma kwenye "screen", nimesoma para moja tu. Sina cha kukujibu, Summarize.
And I thought Mwanakijiji was bad!
Halafu Mose anaandika Kiswahili kama vile kimetafsiriwa kutoka Kiingereza.
Mose,
Mie binafsi simshambulii Nyerere kama mtu, nasema idea zake hazikufikiriwa kwa makini. Halafu una reconcile vipi "Ujamaa na Kujitegemea" kwamba hauwezi kutekelezeka kwa mtu mmoja mmoja na hivyo jambo zima la kutekelezeka kitaifa ni njozi tu?