wadau nimekaa na kufikili hv siasa ni biashara maana nikifikili naona siasa inahitaji
1. mtaji(pesa)
2. Wafanyakazi(watu wa kukupigia kampeni)
3. Soko la bidhaa( wananchi)
4. .................................
ni ulize kuna maskini anaweza kugombea na akashinda kwa hv sasa?
1. mtaji(pesa)
2. Wafanyakazi(watu wa kukupigia kampeni)
3. Soko la bidhaa( wananchi)
4. .................................
ni ulize kuna maskini anaweza kugombea na akashinda kwa hv sasa?