Siasa mchezo mchafu

Siasa mchezo mchafu

One day one time

Senior Member
Joined
Dec 29, 2011
Posts
122
Reaction score
168
Kwa upande wangu mimi uwa namkubali sana mheshimiwa waziri wa madini nikiamini ni kijana mwenye uwezo mzuri sana wa kuongoza. Hata juzi nikiwa naangalia ufunguzi wa ofisi ya wizara nlipenda alivyoongea sasa leo nmeona kama kituko aiseee habari ya Milard Ayo


View: https://youtu.be/KAuHGDU7TQo?si=8kANEcI_AaOkEE9s

Kalia kisa kuacha dodoma mjini katoa sababu ambazo zimenifanya nione anakimbia changamoto za dodoma mjini vipi soko? Vipi kukua kwa mji mimi sijakubali kwa kwel sababu na kulia hakuendani kabisa.
Sijui siasa ya Tanzania daah
Aje mtu mpya kuchukua dodoma mjini badala angewaachia mtumba huko kama ni jitihada mbona angeweza mrithisha tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom