ras mkweli
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 280
- 104
Mama Rwakatare (Mchungaji Rwakatare) alisema amebaini kwenye siasa kuna watu wanataka kutumia nafasi hiyo kumchafua jambo ambalo linampa wakati mgumu ikizingatiwa kuwa ana watu wanaomwamini kiroho.
"Sifikirii kwa sasa kugombea ubunge mwakani, siasa ina mambo mengi sana, bora niendelee kumtumikia Mungu, kama wazo litanijia tena ni hapo baadaye," amesema Mama Rwakatare
Una lipi la kumwambia Mchungaji huyu?
source
[h=5]East Africa Television (EATV)[/h]
"Sifikirii kwa sasa kugombea ubunge mwakani, siasa ina mambo mengi sana, bora niendelee kumtumikia Mungu, kama wazo litanijia tena ni hapo baadaye," amesema Mama Rwakatare
Una lipi la kumwambia Mchungaji huyu?
source
[h=5]East Africa Television (EATV)[/h]