Kassim Awadh
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 884
- 187
Kwani ni mbunge wa kuchaguliwa huyu? jimbo gani tafadhaliHana jipya huyo, anajua kina mama wa morogoro hawatamchagua tena. Aliwaahidi kila mjumbe atampa gari na kumjengea nyumba akipata ubunge. Baada ya kupata ubunge hajarudi jimboni mpk saiv tunavyoongea. Halaf eti ni mtumishi wa mungu. Mtumishi wa mungu my foot!!