Siasa anazofanya Freeman Mbowe zipo sahihi ✓

Siasa anazofanya Freeman Mbowe zipo sahihi ✓

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
31,676
Reaction score
81,663
Mh Mbowe popote ulipo chukua hi 5 👊👊👊
Mimi sioni umuhimu wa kuendelea kuongea Kwa ajili Hawa watz
keyboard worries

Naomba we lamba Asali TU

Taifa la Tanzania haliwezi kukombolea maana Kuna watu they knows nothing
Wao ni Diamond na Alikiba, Simba Yanga , ngono na pombe 24/7
That All
 
Ukweli mchungu, bora jamaa atulie tu na familia yake kuliko kupigania kundi kubwa la watu wasiojielewa.
 
Mh Mbowe popote ulipo chukua hi 5 👊👊👊
Mimi sioni umuhimu wa kuendelea kuongea Kwa ajili Hawa watz
keyboard worries

Naomba we lamba Asali TU

Taifa la Tanzania haliwezi kukombolea maana Kuna watu they knows nothing
Wao ni Diamond na Alikiba, Simba Yanga , ngono na pombe 24/7
That All
Wewe upo kundi gani hapo?
 
Nipo Yombo huku kila kijiwe nilipiga Simba na Yanga mpaka kero hakuna jambo lolote la maana kuhusu nchi linalojadilwa
 
Mh Mbowe popote ulipo chukua hi 5
Mimi sioni umuhimu wa kuendelea kuongea Kwa ajili Hawa watz
keyboard worries

Naomba we lamba Asali TU

Taifa la Tanzania haliwezi kukombolea maana Kuna watu they knows nothing
Wao ni Diamond na Alikiba, Simba Yanga , ngono na pombe 24/7
That All
Naam, Kila Mtu na Ashinde Mechi zake
 
Back
Top Bottom