Siangalii mwanamke mara mbili.

Siangalii mwanamke mara mbili.

ninahisi kama ninamwamini vile...hahahahahah!!!!vipi Mapi una wasiwasi naye au? hahahahah
jamiif akiri ya kuambiwa changanya na yako, endelea kuwa na imani na mimi.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
uktaka jua asemcho JEKI katsha mbele yake ukiwa na kale ka kanga kako tu jamiif
 
Last edited by a moderator:
Karucee eti na mimi mwanaume nkikatza mbele yako itakuwaje?
 
Last edited by a moderator:
Karucee eti na mimi mwanaume nkikatza mbele yako itakuwaje?

to every action there is equal and opposite reaction
womanlooking_1455757c.jpg
 
...
...Kwani nalipia c bure kuangalia... naangalia hadi niache mwenyewe..na ikibidi namfuata kiume namtongoza...ya Mbinguni nitayakuta huko huko...alaaa
 
aaahh..., hatimae nimekutana na uzi huu mzuri, hongera sana mtoa mada.
na hatimae limeongeleka hadharani kwamba wanaume kuwakwa na tamaa ni mtu mwenyewe na hisia zake.
nilikuwa nikijiuliza sana, kwann wanaume wanawaka tamaa sana? kumbe nimepata jibu leo, ni kujidekeza tu, mkiamua kukauka mnaweza, sasa inakuwaje wengine wanalalamika eti mavaz ya mabinti na maumbile yao yanawakwaza!
si kweli, mmeishapewa mbinu, na isitoshe, mngekuwa hamkodolei macho, hao mabinti wasingevaa kiajabu.

asante sana mtoa uzi, nimetoa dukuduku langu.
 
Chezeya kukodolea mimacho...kina Majuto na Bambo hadi wametoa muvi kwa ajili ya hiyo makitu
 
Suala la kupata au kutopata mfadhaiko ni uamuzi wa mtu.......
Hata sasa hivi nikitaka kupata mfadhaiko kwa kutazama tu avatar yako napata
Watu wanadhani hilo ni jambo linalotokea tu hivihivi bila kujua sababu ni wao wenyewe
Hata mwanamke akae uchi wa mnyama kama sijataka kusisimkwa sisisimkwi kabisa

I can control my feelings and my body
Am not an animal...!!!!!!!

If a man can not control his body feelings, huyo atakufa kabla ya siku. Tafuta kisiwa cha mawe matupu ukae huko. Kama bado upo Tz ya leo utapofuka macho kuangalia watu wanavyo udhalilisha huu uumbaji.
Jifunze body control
 
Kitendo cha wanaume kukodolea sana wanawake hasa warembo ndo tatizo linalowaingiza wanaume wengi kwenye matatizo, leo nawapa siri yangu inayonifanya nisianguke kwenye tamaa za mara kwa mara, siangalii mwanamke mara mbili, hata akiwa mzuri namna gani, nikimuona mara ya kwanza sigeuzi tena shingo kwake. Unajua nini, ukigeuza tena utajikuta unaanza kutamani ana figure nzuri, mara macho yake noma na hata wale wapenda mizigo mikubwa utasema lile ---- noma, huo ndo mwanzo wa tamaa na matatizo.

Mkuu una mawazo wazuri. Mimi naming nafuata falsafa Hii. Siangalii mwanamke Mara mbili . nasema sidanganyiki n'goo
 
aaahh..., hatimae nimekutana na uzi huu mzuri, hongera sana mtoa mada.
na hatimae limeongeleka hadharani kwamba wanaume kuwakwa na tamaa ni mtu mwenyewe na hisia zake.
nilikuwa nikijiuliza sana, kwann wanaume wanawaka tamaa sana? kumbe nimepata jibu leo, ni kujidekeza tu, mkiamua kukauka mnaweza, sasa inakuwaje wengine wanalalamika eti mavaz ya mabinti na maumbile yao yanawakwaza!
si kweli, mmeishapewa mbinu, na isitoshe, mngekuwa hamkodolei macho, hao mabinti wasingevaa kiajabu.

asante sana mtoa uzi, nimetoa dukuduku langu.

mbona hujagonga kitufe cha like?
 
Back
Top Bottom