Siangalii mwanamke mara mbili.

Siangalii mwanamke mara mbili.

images

Kodolea na hii sasa ......!!!!!!!!
 
Nakusapoti mtoa mada, kuangalia kwa tahadhari ni jambo jema sn walau mara moja tu then unasepa zako, ukiangalia sn unaweza jikuta ndani ya mfereji bureeee! dada zetu na nyie mtupunguzie mitego basi!
 
Gharama ya kutogeuka ni kubwa zaidi kimawazo, kwa sababu nitabaki kila siku najiuliza hivi yule kaumbikaje! Halafu haindoki kichwani, bora nimwangalieee, niridhike niondoke.
 
Kitendo cha wanaume kukodolea sana wanawake hasa warembo ndo tatizo linalowaingiza wanaume wengi kwenye matatizo, leo nawapa siri yangu inayonifanya nisianguke kwenye tamaa za mara kwa mara, siangalii mwanamke mara mbili, hata akiwa mzuri namna gani, nikimuona mara ya kwanza sigeuzi tena shingo kwake. Unajua nini, ukigeuza tena utajikuta unaanza kutamani ana figure nzuri, mara macho yake noma na hata wale wapenda mizigo mikubwa utasema lile ---- noma, huo ndo mwanzo wa tamaa na matatizo.
Ulizaliwa lini mwenzetu? Haya endelea hivyo hivyo!!!!!!!!!!!!!! Hv kwanza unakaa wapi?
 
Umeona eh. Walah mi nna hamu sana ya kukutia machoni we mrembo. Hebu ni wozap picha yako mtoto wa mwanamke mwenzio nipate apetaiti ya kula apple.

akuuu babu wewe, staki kupaushwa mie. lol
 
Tena wewe nikibahatika kukutana wewe, ntakuangalia mpaka upate mimba. Mi penda sana totoz walah. Mungu ashukuriwe kwa uumbaji wake mantashau.

haha! Unamacho ya ajabu hadi yanamwaga mbegu!! Loh ntavaa ngozi ya mbuzi!
 
Muachege kutuangalia hadi 2najikwaaga na kuharibu kucha zetu ebo!!
 
Gharama ya kutogeuka ni kubwa zaidi kimawazo, kwa sababu nitabaki kila siku najiuliza hivi yule kaumbikaje! Halafu haindoki kichwani, bora nimwangalieee, niridhike niondoke.

sidhani maana kuangalia hakuishii hapo.
 
kama ni kweli, basi mkeo /girlfriend/mchumba wako ana BAHATI ya mtende wallahi!
 
Suala la kupata au kutopata mfadhaiko ni uamuzi wa mtu.......
Hata sasa hivi nikitaka kupata mfadhaiko kwa kutazama tu avatar yako napata
Watu wanadhani hilo ni jambo linalotokea tu hivihivi bila kujua sababu ni wao wenyewe
Hata mwanamke akae uchi wa mnyama kama sijataka kusisimkwa sisisimkwi kabisa

I can control my feelings and my body
Am not an animal...!!!!!!!

unachezea shilingi kwenye tundu la choo, ipo siku itadondokea.
 
Back
Top Bottom