Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,209
- 99,959
Google huu mstari WA biblia.....ikiwa nimeweka nadhiri, nawezaje kugeuka na kumtazama mwanamke?
good boySuala la kupata au kutopata mfadhaiko ni uamuzi wa mtu.......
Hata sasa hivi nikitaka kupata mfadhaiko kwa kutazama tu avatar yako napata
Watu wanadhani hilo ni jambo linalotokea tu hivihivi bila kujua sababu ni wao wenyewe
Hata mwanamke akae uchi wa mnyama kama sijataka kusisimkwa sisisimkwi kabisa
I can control my feelings and my body
Am not an animal...!!!!!!!
Na wewe kuja pande hii nikuchungulie. Tafwazali uje without.
akhaaaa n ije without nini...?niondolee balaa mie!haha
Damn you....
Am not a boy am a MAN.......!!
Point.....ukiangalia then ukaanza kutengeneza hisia mfadhaiko lazima nje ya hapo hakuna kitu hata akitembea uchi,kwanini tahira anayetembea uchi mfadhaiko usipatikane ukapatikani kwa aliyevaa?Suala la kupata au kutopata mfadhaiko ni uamuzi wa mtu.......
Hata sasa hivi nikitaka kupata mfadhaiko kwa kutazama tu avatar yako napata
Watu wanadhani hilo ni jambo linalotokea tu hivihivi bila kujua sababu ni wao wenyewe
Hata mwanamke akae uchi wa mnyama kama sijataka kusisimkwa sisisimkwi kabisa
I can control my feelings and my body
Am not an animal...!!!!!!!
ooops. sorry!!!
Point.....ukiangalia then ukaanza kutengeneza hisia mfadhaiko lazima nje ya hapo hakuna kitu hata akitembea uchi,kwanini tahira anayetembea uchi mfadhaiko usipatikane ukapatikani kwa aliyevaa?